MENEJA WA TOTTENHAM ATIMULIWA

Aliyekuwa Meneja wa Tottenham Andre Villas - Boas Leo klabu ya Tottenham imemtimua Meneja wake Villas-Boas kufuatia kipigo cha goli 5 ...

Aliyekuwa Meneja wa Tottenham Andre Villas - Boas

Leo klabu ya Tottenham imemtimua Meneja wake Villas-Boas kufuatia kipigo cha goli 5 -0 kutoka kwa Liverpool jana.

Villas-Boas, 36, alishika nafasi hiyo ndani ya Tottenham tangu July 2012, taarifa hiyo inasema kuwa maamuzi hayo yamefanyika baada ya makubaliano ya pande zote kwa ajili ya mustakabali mzuri wa timu hiyo.

Related

CHANGAMOTO NA ATHARI ZITOKANAZO NA DAWA ZA KULEVYA DUNIANI KUJADILIWA 2016

Washiriki wakiwa kwenye mkutano  huo kuhusu dawa za kulevya uliofanyika mwishoni mwa wiki Umoja wa Mataifa na kuwakutanisha wadau mbalimbali. Na Mwandishi Maalum, New York Jumuiya ya Ki...

Hospitali ya AMI kufurushwa kwa kutolipa kodi ya pango ya bilioni tatu

Mahakama Kuu, Kitengo cha Biashara imeamuru kufurushwa kwenye jengo hospitali ya African Medical Investment Ltd (AMI) maarufu kama Trauma Center ya Msasani Jijini Dar es Salaam, baada ya kus...

TANZANIA CHILDREN'S PROJECT YAFANYA HARAMBEE KUSAIDIA WATOTO TANZANIA COLUMBIA, MARYLAND

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akihudhuria harambee ya Tanzania Children's Project inayoshughulisha na miradi ya afya na elimu Tanzania iliyofanyika siku ya Jumamosi ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904776
item