AJALI YASHUSISHA MAGARI SITA KWA WAKATI MMOJA KITUO CHA MABASI UBUNGO NA KUSABABISHA FOLENI KUBWA

  Mkusanyiko wa watu wakiwa eneo la ajali Ubungo jijini Dar es Salaam Dar es Salaam. Ajali mbaya imetokea ubungo lango kuu la k...

 Mkusanyiko wa watu wakiwa eneo la ajali Ubungo jijini Dar es Salaam

Dar es Salaam.
Ajali mbaya imetokea ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajali hiyo imetokea baada ya breki za lori kushindwwa kufanya kazi na kusababisha kuyagonga magari mengine matano, na kusababisha foleni kubwa. Hadi sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha.

Related

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahaman Kinana septemba 10 anatarajiwa kuanza ziara ya kawaida katika mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mara. Ziara hiyo itaanzia katika mkoa wa ...

HUYU NDIE MWANAMKE ALIYEKAMATWA NA DAWA ZA KULEVYA JNIA

Huyu ndiye mwanamke aliyekamatwa na kete za madawa ya kulevya akiwa chini ya ulinzi.  Zifuatazo ni picha mbalimbali za tukio zima la kunaswa kwa mtuhumiwa wa madawa ya kulevya raia wa Nige...

KESI YA WAZIRI MKUU PINDA KUTAJWA RASMI SEPTEMBER 16

Kesi ya kikatiba inayomkabili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda iliyofunguliwa na LHRC imepangiwa tarehe na sasa itatajwa rasmi Septemba 16 mwaka huu. LHRC walimfungulia Waziri Mkuu Pinda, kesi hiyo kuto...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904746
item