AJALI YASHUSISHA MAGARI SITA KWA WAKATI MMOJA KITUO CHA MABASI UBUNGO NA KUSABABISHA FOLENI KUBWA

  Mkusanyiko wa watu wakiwa eneo la ajali Ubungo jijini Dar es Salaam Dar es Salaam. Ajali mbaya imetokea ubungo lango kuu la k...

 Mkusanyiko wa watu wakiwa eneo la ajali Ubungo jijini Dar es Salaam

Dar es Salaam.
Ajali mbaya imetokea ubungo lango kuu la kuingilia mabasi yatokayo mikoani. Ajali hiyo imetokea baada ya breki za lori kushindwwa kufanya kazi na kusababisha kuyagonga magari mengine matano, na kusababisha foleni kubwa. Hadi sasa haijajulikana idadi ya watu waliopoteza maisha.

Related

MWILI WA MAREHEMU WILLIAM MGIMWA WAAGWA VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR ES SALAAM

Jeneza lenye mwili wa aliyekuwa Waziri wa Fedha na Uchumi, Dk. William Mgimwa likiwa mbele ya waombolezaji. Rais Jakaya Kikwete pamoja na Mama Salma wakiaga mwili wa marehemu Dk. Mgimwa ...

BOTI YA KILIMANJARO MALI YA AZAM MARINE YAPATA AJALI IKITOKEA PEMBA, MAITI 5 ZAPATIKANA

Boti ya Kampuni ya Azam Marine ya Kilimanjaro  ikitokea Pemba asubuhi ya leo ikiwa na abiria karibu 320 imepata misukosuko ya hali ya upepo na mawimbi na kusababisha baadhi ya abiria wali...

MOTO ULIVYOITEKETEZA JANCO MOTEL ILIYOPO MBEYA JANA USIKU

Jana usiku moto mkubwa ulizuka katika hotel ya Janco iliyopo eneo la Forest Mpya na kuteketeza baadhi ya vitu, chanzo cha moto huo hakijafahamika hadi sasa. Idadi ya vifo na ma...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904746
item