PICHA: VURUGU ZILIZOZUKA MKOANI MWANZA KATI YA WAMACHINGA NA POLISI ASUBUHI YA LEO

 Vitu vimeharibiwa  Askari wakiondoa mawe yaliyowekwa barabarani Polisi wametumia mabomu kutawanya wafanyabiashara leo asub...


 Vitu vimeharibiwa
 Askari wakiondoa mawe yaliyowekwa barabarani


Polisi wametumia mabomu kutawanya wafanyabiashara leo asubuhi kwa kukaidi amri ya kuhama soko la Makoroboi mjini Mwanza. Kufuatia vurugu hizo watu wamehaha na kusababisha biashara kusimama.


Image Source: Jamii Forum

Related

DKT. ASHA ROSE MIGIRO ATEULIWA KUWA MBUNGE NA RAIS KIKWETE, APONGEZWA KWA UTEUZI HUO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dr. Asha-Rose Migiro kuwa Mbunge.Taarifa iliyotolewa Ikulu, Dar es Salaam leo, Jumanne, Desemba 3, 2013, na ...

TAMKO LA WANACHADEMA WA MKOA WA MWANZA HILI HAPA

  Ndugu wanahabari, muda mfupi uliopita (jana) tumetoka kufanya mkutano na waandishi wa habari hapa mwanza kwenye ukumbi wa HILL FRONT sisi kama wanachama wa chadema kuelezea msimamo wetu dh...

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA TAASISI YA KIMATAIFA YA KUHUDUMIA WAATHIRIKA WA DAWA ZA KULEVYA NA UKIMWI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Rais wa Taasisi ya Kimataifa ya Kuhudumia Waathirika wa Dawa za kulevya na UKIMWI iitwayo Medicins Du Monde - Harm Reduction Programe alipofika na ujumbe ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item