HUYU HAPA NDIYE POLISI FEKI WA USALAMA BARABARANI ALIYEKAMATWA

  Kamishna Kova (katikati) akionesha kidole kwa polisi feki aliyekamatwa   Askari  feki aliyekamatwa aitwaye Robson Seif Mwakyusa (3...

 Kamishna Kova (katikati) akionesha kidole kwa polisi feki aliyekamatwa
 Askari  feki aliyekamatwa aitwaye Robson Seif Mwakyusa (30).
 Kova akionyesha baadhi ya sare za jeshi la polisi alizokamatwa nazo polisi huyo feki
Waandishi wa habari  wakimsikiliza kamanda kova


JESHI la Polisi Kanda ya Dar es Salaam linamshikilia na kumhoji mtu mmoja anayeitwa Robson Seif Mwakyusa (30) mkazi wa Kijitonyama Jijini Dar, kwa tuhuma za kujifanya ofisa wa polisi kikosi cha usalama barabarani  huku akifanya ukaguzi wa makosa ya usalama barabarani
Mtuhumiwa huyu alikamatwa jumamosi  iliyopita huko Kata ya Chamazi, Mbagala-Majimatitu Mkoa wa Kipolisi Temeke akiwa amevalia sare za polisi na cheo cha stesheni sajenti na akiwa na leseni mbalinbali za magari, ‘radio-call’, stakabadhi, na vitu vingine

Related

OTHER NEWS 3863288463689355835

Post a Comment

emo-but-icon

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

RECENT

Archive

item