RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI NYUMBA ZA MAKAZI ZA MEDELI DODOMA

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea  mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo Mjini Dodoma wenye nyumba 150, kushoto kwake...


 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo Mjini Dodoma wenye nyumba 150, kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Dk Rehema Nchimbi (wa kwanza kushoto) Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Zakhia Meghji na Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene. Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe na Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Christopher Kangoye. 
 Rais Jakaya Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo Mjini Dodoma wengine wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa NHC, Nehemia Mchechu, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Zakhia Meghji.
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitembelea mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo Mjini Dodoma wenye nyumba 150, kushoto kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Zakhia Meghji na Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene. Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe na Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Christopher Kangoye


 Majengo ya Nyumba za Makazi za Medeli Mjini Dodoma kama yanavyoonekana pichani.


 Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NHC, Zakhia Meghjihuku Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa mkoani Dodoma, Christopher Kangoye na Naibu Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi, George Simbachawene wakishuhudia wakati wa ufunguzi rasmi wa mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo Mjini Dodoma. Mradi una jumla ya nyumba 150
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Meneja wa NHC katika Ofisi ya Mkurugenzi Mkuu, Bulla Bomawakati wa ufunguzi rasmi wa mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo MjiniDodoma.


Rais Jakaya Kikwete katika picha ya pamoja na Watendaji wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) mara baada ya ufunguzi rasmi wa mradi wa nyumba za makazi za Medeli zilizopo Mjini Dodoma.
Picha zote kwa hisani ya Shirika la Nyumba la Taifa

Related

BAJETI KUSOMWA LEO

WAKATI bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2013/2014 inatarajiwa kusomwa leo bungeni na Waziri wa Fedha na Uchumi, William Mgimwa, wananchi wanaingojea kwa shauku kubwa kuona kama itawapa ahue...

KATIBU MKUU WA ZAMANI OFISI YA RAIS TIMOTHY APIYO AFARIKI DUNIA NCHINI AFRIKA YA KUSINI

Katibu Mkuu wa Zamani Ofisi ya Rais Ikulu,Mzee Timothy Apiyo (pichani), amefariki dunia katika hospitali ya Milpark nchini Afrika Kusini alikokuwa amelazwa.Marehemu Mzee Apiyo alikuwa Katibu Mkuu ...

MWIZI MTANDAO WA SIMU AKAMATWA

MTANDAO mpya wa wizi wa fedha zinazotumwa kupitia kwenye simu za viganjani unaowahusisha wafanyabiashara na baadhi ya watumishi wa kampuni za simu umebainika. Tayari mfanyabiashara mmoja anayejihusi...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item