UCHAGUZI WA MADIWANI KATA ZA ARUSHA WAAHIRISHWA

KUFUATIA MLIPUKO ULIOTOKEA JANA HUKO ARUSHA, UCHAGUZI WA MADIWANI ULIOTARAJIWA KUFANYIKA LEO UMEAHIRISHWA KWA KATA ZOTE 4 ZA ARUSHA UMEAHIRI...



KUFUATIA MLIPUKO ULIOTOKEA JANA HUKO ARUSHA, UCHAGUZI WA MADIWANI ULIOTARAJIWA KUFANYIKA LEO UMEAHIRISHWA KWA KATA ZOTE 4 ZA ARUSHA UMEAHIRISHWA HADI TAREHE 30/06/2013.

Tume ya taifa ya Uchaguzi imesimamisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani ktk kata nne jijini Arusha. Akizungumza kwa njia ya simu na Radio TBC FM,kutoka Zanzibari mwenyekiti huyo wa tume ya uchaguzi alisema kua wameamua kusimamisha uchaguzi huo ili kuwapa nafasi vyombo vya usalama kuchunguza swala hilo.

Alisema kua sheria inawapa mamlaka kufanya hivyo pale wanapogundua kuwa hakutakua na uhuru wa mpiga kura kwenda kupiga kura. Alisema haiwezekani uchaguzi ufanyike ktk hali kama hiyo huku kukiwa na wasiwasi.



SOURCE: TBC

Related

TPDC YATOA UFAFANUZI KUHUSIANA NA MKATABA WAKE NA STATOIL

Mkurugenzi Mtendaji Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) Bw. Yona Killagane akitoa ufafanuzi mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na Kampuni ya Statoil yenye mkata...

MTOTO AIBWA CHANGANYIKENI LEO, ATAKAEMUONA ATOE TAARIFA POLISI

MTOTO KAIBIWA CHANGANYIKENI LEO ANAITWA MARLYN.ATAKAEMUONA NNAOMBA ATUSAIDIE KUTOA TAARIFA KITUO CHOCHOTE CHA POLICE. AMEIBIWA NA MKAKA KANYOA PANK. Please upatapo ujumbe huu mfowardie na mwe...

CCM, CHADEMA NUSU WAZIPIGE KAVUKAVU KWENYE MKUTANO DAR ES SALAAM

  Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan wa CCM (KULIA), akiamulia ugomvi wa Diwani wa Kimara, Pascal Manota wa Chadema (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge w...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904845
item