CHADEMA YASHINDA KATA ZOTE NNE ARUSHA

CHADEMA wameibuka kidedea kwa kuweza kushinda katika uchaguzi  mdogo wa madiwani katika kata zote nne. Awali uchaguzi huo uliingia do...

CHADEMA wameibuka kidedea kwa kuweza kushinda katika uchaguzi  mdogo wa madiwani katika kata zote nne. Awali uchaguzi huo uliingia dosari baada ya shambulio la bomu lililorushwa katika uwanja wa soweto siku moja kabla ya uchaguzi na hatimae uchaguzi huo kuairishwa na kufanyika  jumapili tarehe 14 July 2013.

MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI 

KATA YA THEMI
CHADEMA 678      
CCM 326
CUF 313
KATA YA KIMANDOLU
CHADEMA 2665
CCM 1169
KATA YA KALOLENI
CHADEMA 1019
CCM 389
CUF 169
KATA YA ELERAI
CHADEMA 1715
CCM 1239
CUF 213

Related

MEMBE, TULIKAANGWA, TULIULIZWA MASWALI MAGUMU URAIS 2015

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Benard Membe amesema aliulizwa maswali mazito na Kamati Ndogo ya Maadili ya CCM inayoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bar...

IGP MSTAAFU SAID MWEMA AAGWA RASMI LEO JIJINI DAR

Mstaafu, Said Mwema akipokea Salaam ya heshima na utii iliyotolewa na Gwaride Maalum lililoandaliwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la Polisi(hawapo pichani) katika hafla fupi ya kumuaga rasmi ku...

WASSIRA, MAKAMBA WALIPOHOJIWA NA KAMATI YA MAADILI CCM

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano na Uratibu ) Ndugu Stephen Wassira akitoka nje ya ukumbi wa White House baada ya kumaliza mahojiano na Kamati Ndogo ya Maadili.  Waziri wa Nchi ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item