CHADEMA YASHINDA KATA ZOTE NNE ARUSHA

CHADEMA wameibuka kidedea kwa kuweza kushinda katika uchaguzi  mdogo wa madiwani katika kata zote nne. Awali uchaguzi huo uliingia do...

CHADEMA wameibuka kidedea kwa kuweza kushinda katika uchaguzi  mdogo wa madiwani katika kata zote nne. Awali uchaguzi huo uliingia dosari baada ya shambulio la bomu lililorushwa katika uwanja wa soweto siku moja kabla ya uchaguzi na hatimae uchaguzi huo kuairishwa na kufanyika  jumapili tarehe 14 July 2013.

MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI 

KATA YA THEMI
CHADEMA 678      
CCM 326
CUF 313
KATA YA KIMANDOLU
CHADEMA 2665
CCM 1169
KATA YA KALOLENI
CHADEMA 1019
CCM 389
CUF 169
KATA YA ELERAI
CHADEMA 1715
CCM 1239
CUF 213

Related

MAITI YAKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA MOROGORO

MWILI wa marehemu, Khalid Abdul Kitala (47) ambaye ni mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam ukiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali kuu ya mkoa wa Morogoro muda mfupi ka...

Worshipers Targeted at Christmas Services in Baghdad

BAGHDAD — At least 26 people were killed and 38 others wounded on Wednesday when a car bomb exploded in a parking lot near St. John’s Roman Catholic Church in a southern neighborhood of Baghda...

KRISMASI 2013: PAPA FRANCIS ATETEA WANYONGE WA VITA

Katika hotuba yake ya mwanzo ya Krismasi, Papa Francis amezungumza mjini Rome juu ya maeneo ya vita duniani. Alitoa wito kwa pande zote zilizohusika na vita vya Syria ziruhusu msaada kufika kwa...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904762
item