CHADEMA YASHINDA KATA ZOTE NNE ARUSHA

CHADEMA wameibuka kidedea kwa kuweza kushinda katika uchaguzi  mdogo wa madiwani katika kata zote nne. Awali uchaguzi huo uliingia do...

CHADEMA wameibuka kidedea kwa kuweza kushinda katika uchaguzi  mdogo wa madiwani katika kata zote nne. Awali uchaguzi huo uliingia dosari baada ya shambulio la bomu lililorushwa katika uwanja wa soweto siku moja kabla ya uchaguzi na hatimae uchaguzi huo kuairishwa na kufanyika  jumapili tarehe 14 July 2013.

MATOKEO YA UCHAGUZI MDOGO WA UDIWANI 

KATA YA THEMI
CHADEMA 678      
CCM 326
CUF 313
KATA YA KIMANDOLU
CHADEMA 2665
CCM 1169
KATA YA KALOLENI
CHADEMA 1019
CCM 389
CUF 169
KATA YA ELERAI
CHADEMA 1715
CCM 1239
CUF 213

Related

OTHER NEWS 6504866341996820324

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

item