MANCHESTER CITY WAZINDUA MUONEKANO WAO MPYA (BLACK NIKE OUTFIT)

Wachezaji wa manchester City wakionyesha jezi zo mpya Timu ya Manchester City imezindua muonekano wake mpya wenye nembo ya Nike leo, u...

Wachezaji wa manchester City wakionyesha jezi zo mpya
Timu ya Manchester City imezindua muonekano wake mpya wenye nembo ya Nike leo, uzinduzi umefanyika wakati timu hiyo ikiwa mjini Hong-Kong kwenye ziara.
Mashati yao yamenakshiwa na nembo ya Ardwick AFC iliyokuwa ikitumika miaka ya 1890-91, Ardwick ni jina la klabu kabla ya kubadilishwa jina na kuwa Manchester City mwaka 1894.
Huo ndio muonekano wa Man City kwa sasa.
MAN CITY

Related

MKE WA RAIS WA UJERUMANI BI DANIELA SCHADT MGENI RASMI UFUNGUZI WA SKULI MWERA

Mke wa Rais wa Ujerumani Bi Daniela Schadt.akiondoa kipazia kuashiria ufunguzi wa Skuli hiyo huko Mwera Wilaya ya Kati Unguja.  Jengo la Skuli ya Herrnhuter Academy School, ilioko...

TEMEKE MABINGWA WA PROIN WOMEN TAIFA CUF

 Waziri wa Habari,Vijana Utamaduni na Michezo, Mh Dkt Femella Mukangara (wa pili kushoto) akiwasili katika uwanja wa Azam Complex Chamanzi wakati wa fainali ya Mashindano ya Proin Women Ta...

WAZIRI MWAKYEMBE AAPISHWA OFISI MPYA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

 Waziri Harrison Mwakyembe akila kiapo ndani ya Bunge la Afrika Mashariki, Arusha. Siku chache zimepita tangu yatangazwe mabadiliko madogo ndani ya Baraza la Mawaziri Tanzania.   Al...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904746
item