AJALI MBIO ZA MWENGE DODOMA

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema, watu 3 wamejeruhiwa baada ya magari yaliyokuwa katika msafara wa mbio za mwenge kupata ajaliwilay...

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema, watu 3 wamejeruhiwa baada ya magari yaliyokuwa katika msafara wa mbio za mwenge kupata ajaliwilayani Chamwino mkoani Dodoma leo.Hakuna vifo vilivyoripotiwa hadi sasa, habari kamili zitawajia baadae.

Related

BREAKING NEWS!!!!!!! MOTO WATEKETEZA JENGO LA JANCO MOTEL JIJINI MBEYA USIKU HUU

Moto mkali umezuka katika jengo la Janco Motel lililopo Forest Mpya, Mbeya usiku huu. Hadi sasa Zimamoto hawajafanikiwa kuudhibiti, jengo linateketea. Habari zaidi zitafuata.

TASWIRA YA MBALIMBALI NYUMBANI KWA MAREHEMU DR MGIMWA ALIPOZALIWA

 Hapa  ndipo  nyumbani  alipozaliwa na alipokuwa akiishi  aliyekuwa  waziri  wa fedha na mbunge wa  jimbo la Kalenga Dr Wiliam Mgimwa na ndipo atazikwa h...

MENO YA TEMBO 81 YAKAMATWA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Watu wawili wanashikiliwa na polisi nchini Tanzania baada ya kukamatwa na shehena ya meno ya tembo katika bandari ya Dar es Salaam, waliyokuwa wakisafirisha kiharamu maafisa wa nchi hiyo wam...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904981

HOT POSTSRECENTArchive

RECENT

Archive

item