MWIGULU NCHEMBA ALIPOZINDUA TAWI LA CCM CALIFORNIA MAREKANI

Ndg. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuh...

Ndg. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wakereketwa wa chama cha mapindunzi Califonia.

Ndg. Mwigulu Nchemba katika picha ya pamoja na wanachama wa CCM California mara baada ya kukata utepe na kufungua tawi rasmi.

Baadhi ya wanachama wa Tawi California wakiteta jambo huku vicheko vikitawala.

Mwanachama mpya akipokea kadi yake


Baadhi ya wanachama wakiwa na furaha baada ya Mhe. Mwigulu Nchemba kufungua tawi





Juu na chini ni Wananchama wa tawi wakipata maakuli


Picha zote kwa hisani ya CCM Social Media

Related

RAIS ZUMA AKANUSHA KURUHUSIWA KWA MANDELA KUTOKA HOSPITALI

Ofisi ya Rais nchini Afrika Kusini imesisitiza kuwa Mandela bado yupo hospitali na kukanusha habari zilizozagaa kwenye vyombo vya habari kuwa ameruhusiwa.

MKUU WA JESHI LA POLISI TANZANIAI INSPEKTA JENERALI SAIDI MWEMA AIBIWA UPANGA WENYE THAMANI YA SH600 MILIONI JIJINI DAR ES SALAAM.

JESHI la Polisi limeingia katika kashfa nzito baada ya mkuu wake, Inspekta Jenerali Said Mwema, kuibiwa upanga wa dhahabu ambao ni mali ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi wa nchi za K...

WAASI WA M23 KUSITISHA MAPIGANO DRC

Waasi wa M23 Mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo wamesema kuwa watasitisha mapigano, kufuatia makabiliano makali na wanajeshi wa serikali wanaoungwa mkono na wanajeshi wa Umoja wa M...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item