MWIGULU NCHEMBA ALIPOZINDUA TAWI LA CCM CALIFORNIA MAREKANI

Ndg. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuh...

Ndg. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wakereketwa wa chama cha mapindunzi Califonia.

Ndg. Mwigulu Nchemba katika picha ya pamoja na wanachama wa CCM California mara baada ya kukata utepe na kufungua tawi rasmi.

Baadhi ya wanachama wa Tawi California wakiteta jambo huku vicheko vikitawala.

Mwanachama mpya akipokea kadi yake


Baadhi ya wanachama wakiwa na furaha baada ya Mhe. Mwigulu Nchemba kufungua tawi





Juu na chini ni Wananchama wa tawi wakipata maakuli


Picha zote kwa hisani ya CCM Social Media

Related

MAONYESHO YA NYARAKA ZA KITAIFA NA KUMBUKUMBU ZA OMAN YAZINDULIWA NA MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika.katika uku...

Rafael Nadal bingwa wa wanaume

RAFAEL NADAL Rafael Nadal amemcharaza bingwa wa dunia wa tennis ya wanaume Novak Djokovic kwenye mchuano wa fainali ya shindano la US open mjini New York Marekani na ambalo amelishinda kwa ma...

KINANA & NAPE KESHO NDANI YA SHINYANGA

Ndg. Kinana Ndg. Nape KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana kesho Jumanne, ataanza ziara ya siku nne mkoani Shinyanga kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item