MWIGULU NCHEMBA ALIPOZINDUA TAWI LA CCM CALIFORNIA MAREKANI

Ndg. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuh...

Ndg. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wakereketwa wa chama cha mapindunzi Califonia.

Ndg. Mwigulu Nchemba katika picha ya pamoja na wanachama wa CCM California mara baada ya kukata utepe na kufungua tawi rasmi.

Baadhi ya wanachama wa Tawi California wakiteta jambo huku vicheko vikitawala.

Mwanachama mpya akipokea kadi yake


Baadhi ya wanachama wakiwa na furaha baada ya Mhe. Mwigulu Nchemba kufungua tawi





Juu na chini ni Wananchama wa tawi wakipata maakuli


Picha zote kwa hisani ya CCM Social Media

Related

TAARIFA YA MKURUGENZI WA MAKOSA YA JINAI KUHUSU BOMU LILILOLIPUKA ARUSHA

  Jumatatu July 07 kwenye moja ya migahawa iliyopo eneo la Uzunguni Jijini Arusha,Watu wanane waliripotiwa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu.Mkurugenzi wa makosa ya jinai wa Jeshi la Poli...

NEWS ALERT: KITU KINACHOSADIKIWA NI BOMU CHALIPUKA ARUSHA‏ JIRANI NA MAHAKAMA KUU

Watu 7 wamejeruhiwa na 1 yuko mahututi baada ya watu wasiofahamika kurusha bomu karibu na Mahakama Kuu, Arusha  katika mgahawa wa Wama ulioko Gymkhana jijini Arusha(Pichani chini). Tukio ...

MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI VITANDA 267 KWA SHULE ZA SEKONDARI JIMBONI KWAKE

 Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akimkabidhi vitanda Mkuu wa shule ya seondari ya Sekondari ya Mandera Bi. Rose Jumila, kushoto ni Diwania wa Viti maalum kata ya Msoga Bi. Maria ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item