MWIGULU NCHEMBA ALIPOZINDUA TAWI LA CCM CALIFORNIA MAREKANI

Ndg. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuh...

Ndg. Mwigulu Nchemba akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa tawi la CCM Oakland California kulikofanyika Jumamosi Sept 14, 2013 na kuhudhuriwa na watu mbalimbali wakiwemo wakereketwa wa chama cha mapindunzi Califonia.

Ndg. Mwigulu Nchemba katika picha ya pamoja na wanachama wa CCM California mara baada ya kukata utepe na kufungua tawi rasmi.

Baadhi ya wanachama wa Tawi California wakiteta jambo huku vicheko vikitawala.

Mwanachama mpya akipokea kadi yake


Baadhi ya wanachama wakiwa na furaha baada ya Mhe. Mwigulu Nchemba kufungua tawi





Juu na chini ni Wananchama wa tawi wakipata maakuli


Picha zote kwa hisani ya CCM Social Media

Related

VURUGU ZA WAKULIMA MOROGORO, MABOMU YA MACHOZI YATUMIKA KUWATAWANYA

Wananchi wa Kijiji cha Mangae wakiwa wamefunga Barabara wakiwa wameshika mawe na Silaha za Jadi wakikataa kabisa kufungua barabara hiyo wakitaka Mkuu wa Mkoa kuja Kuoanana Nao. ...

WASAFIRISHAJI WA DAWA ZA KULEVYA WAJA NA MBINU MPYA, SOMA HAPA

Dar es Salaam.  Wasafirishaji wa dawa za kulevya wamebuni mbinu mpya baada ya Kikosi cha Polisi cha Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) kukamata kilo 3.5 za heroini zi...

NEWS ALERT! MSIGWA AACHIWA

Mahakama Iringa imemuachia kwa dhamana Mch. Peter msigwa baada ya kusomewa mashitaka yake hivi punde na kukana shitaka la kujeruhi, kesi imeahirishwa na kutarajiwa kutajwa tena Machi 10, 2013.


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904763
item