GHASIA MBEYA, BARABARA YA MWANJELWA YAFUNGWA

Polisi wakiwa katika ulinzi   Maduka funga kule.... Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia baada ya mabomu ya machozi kuanza kurushwa...

Polisi wakiwa katika ulinzi  

Maduka funga kule....

Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia baada ya mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu

Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote

 Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA

Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia

Vijana wamechoma matairi barabarani
Wafanyabiashara mjini Mbeya wamefunga barabara ya Mwanjelwa leo wakipinga kulazimika kutumia mashine za mauzo (EFDs). Polisi wametumia mabomu ya machozi kuwadhibiti.

Picture thanx to Mbeya yetu blog.

Related

ALEX FERGUSON ATANGAZA RASMI KUNG'ATUKA UMENEJA MANCHESTER UNITED

Kocha mkuu wa club tajiri duniani ya Uingereza, Manchester United Sir Alex Ferguson (71yrs) ametangaza rasmi kustaafu kuinoa timu hiyo. The decision to retire is one that I ha...

Lwakatare, Ludovick wafutiwa mashitaka ya ugaidi

Mahakama Kuu ya Tanzania imefuta mashitaka yote ya ugaidi yaliyokuwa yanawakabili Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa CHADEMA Wilfed Lwakatare na mwenziye Ludovick Joseph.Taarifa zinasema Mahakama ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904812
item