GHASIA MBEYA, BARABARA YA MWANJELWA YAFUNGWA
Polisi wakiwa katika ulinzi Maduka funga kule.... Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia baada ya mabomu ya machozi kuanza kurushwa...
https://gabriellabridalsolution.blogspot.com/2013/10/ghasia-mbeya-barabara-ya-mwanjelwa.html
![]() |
| Polisi wakiwa katika ulinzi |
![]() |
| Maduka funga kule.... |
![]() |
| Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia baada ya mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu |
![]() |
| Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote |
![]() |
| Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA |
![]() |
| Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia |
![]() |
| Vijana wamechoma matairi barabarani |
Picture thanx to Mbeya yetu blog.






