TAZAMA PICHA ZA AJALI ILIYOTOKEA KAWE DARAJANI

Ajali mbaya na ya kutisha imetokea leo alfajiri katikati ya madaraja mawili ya chuma yaliyoko eneo la Kawe pembeni ya k...






Ajali mbaya na ya kutisha imetokea leo alfajiri katikati ya madaraja mawili ya chuma yaliyoko eneo la Kawe pembeni ya kambi ya JKT Mlalakuwa, Dar es Salaam.
Ajali hiyo imesababisha dereva kupoteza maisha na kuacha vipande vya ubongo vikining’inia katika moja ya madaraja hayo, baada ya gari hilo aina ya Toyota Celica GTR lenye namba za usajili T220ABL kugonga na kisha kuingia kwenye ukingo wa daraja na kisha kutumbukia kwenye mto. Maiti iliondolewa asubuhi wakati ajali hiyo ilitokea kati ya saa 8 na saa 9 alfajiri.

Related

MAANDALIZI YA UJIO WA OBAMA YAKIWA YAMEKAMILIKA, TAYARI KWA MAPOKEZI IKULU JIONEE KATIKA PICHA

KINA MAMA WAMEJAA NA FURAHA KWELIKWELIBARACK OBAMA ROAD KUZINDULIWA RASMI ZULIA JEKUNDU TAYARI KWA UJIOPICHA KWA HISANI YA FATHER KIDEVU

CUF WAJIPANGA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA JWTZ, POLICE

CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema kinawasilisha na mawakili wake na asasi za haki za binadamu kujua hatua za kisheria kuchukua dhidi ya  askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa mada...

BARABARA ZITAKATOFUNGWA SIKU YA JUMANNE KUPISHA MSAFARA WA OBAMA NI HIZI

Sam Nujoma RoadSiku ya jumanne tarehe 02/07/2013 barabara zifuatazo hazitakuwa hewani (zitafungwa) kwa muda wa masaa 2 kuanzia saa 3.00 asubuhi:ALI HASSAN MWINYISAM NUJOMAMOROGORO

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904811
item