TUNISIA YAPATA KATIBA MPYA

Bunge la Tunisia limeidhinisha katiba mpya,ikiwa ni ya kwanza tangu kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa rais wa taifa hilo Ben Ali, ya...

Bunge la Tunisia limeidhinisha katiba mpya,ikiwa ni ya kwanza tangu kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa rais wa taifa hilo Ben Ali, yapata miaka mitatu iliopita.

Spika wa bunge hilo Mustapha Ben Jaafar ameitaja katiba hiyo kama mojawapo ya makubaliano yaliyoafikiwa kwa mustakabali mwema wa Tunisia.

Mwandishi wa BBC nchini humo anasema kuwa wanasiasa wana imani ya kutuma ujumbe wa udhabiti na umoja kwa raia wa taifa hilo pamoja na jamii ya kimataifa.

Wakati huohuo waziri mkuu nchini humo Mehdi Jomaa amesema ameunda serikali mpya.
Baraza la mawaziri linashirikisha wataalam na watu wasioegemea upande wowote wa kisiasa, linatarajiwa kuongoza serikali hadi uchaguzi mpya utakapofanyika.

Mehdi Jomaa alichaguliwa kama waziri mkuu mnamo mwezi Disemba,baada ya serikali ilikuwa ikiongozwa na chama cha Ennahda kukubali kujiuzulu kufuatia ongezeko la hali ya wasiwasi kati yake na upinzani wenye misimamo wa kadri.

BBC

Related

Kenyan Fan Kills Self Over Man United Loss To Newcastle

A Kenyan fan of English football outfit Manchester United has jumped to his death from the 7th floor of a building after his team’s latest loss to Newcastle United. 23 year-old John ...

WABUNGE WANUNULIWA IPADS

Kumezuka malalamiko nchini Uganda baada ya wabunge kununuliwa tabiti au (iPads) kwa pesa za Umma. Afisaa mkuu wa Bunge amesema kuwa tabiti hizo zitawafanya wabunge kuwa makini wakati wa vikao vya...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item