MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA UHAMASISHAJI NA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA JIJINI MWANZA.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa Kongamano l...

 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa Kongamano la siku tatu la Uwekezaji na Uhamasishaji Kanda ya Ziwa, lililoanza jana Feb 13, 2014, jijini Mwanza
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib 
Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Udhibiti wa Ubora wa kampuni ya Vic Fish, Jacob Maisele, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho katika Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa, lililofunguliwa janaFeb 13, 2014 jijini Mwanza.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho katika Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa, lililofunguliwa jana Feb 13, 2014 jijini Mwanza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifurahia jambo alipotembelea katika Banda la Mjasiliamali Donatha Swai, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho katika Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa.

PICHA NA OMR.

Related

ZITTO KABWE ASHINDA HUKUMU YA KESI YAKE

UMATI mkubwa wa wafuasi wa Chadema upande wa Mhe Zitto Kabwe wakiwa wamembeba juu mara baada ya mahakama kuu kutoa uamuzi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo imetoa hukumu ya kesi ya ...

HII NDIO BARUA YA UTETEZI YA ZITTO KABWE KWA CHADEMA

ZITTO KABWE Our Ref: ZZK/12/13 10.12. 2013. Mh. Katibu MKuu, Chama Cha Demokrasia Na Mendeleo HSE NO 170, UFIPA STREET, KINONDONI S. L. P 31191 Dar es Salaam – Tanzan...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item