MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA UHAMASISHAJI NA UWEKEZAJI KANDA YA ZIWA JIJINI MWANZA.

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa Kongamano l...

 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa Kongamano la siku tatu la Uwekezaji na Uhamasishaji Kanda ya Ziwa, lililoanza jana Feb 13, 2014, jijini Mwanza
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib 
Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Meneja wa Udhibiti wa Ubora wa kampuni ya Vic Fish, Jacob Maisele, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho katika Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa, lililofunguliwa janaFeb 13, 2014 jijini Mwanza.

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho katika Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa, lililofunguliwa jana Feb 13, 2014 jijini Mwanza.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifurahia jambo alipotembelea katika Banda la Mjasiliamali Donatha Swai, wakati alipokuwa akitembelea mabanda ya maonyesho katika Kongamano la siku tatu la Uhamasishaji na Uwekezaji Kanda ya Ziwa.

PICHA NA OMR.

Related

SOMA TAARIFA YA RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN ALIPOKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI IKULU, ZANZIBAR

DK. ALI MOHAMED SHEIN   TAARIFA YA RAIS WA ZANZIBAR NA MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI, MHE. DK. ALI MOHAMED SHEIN, KWA WAANDISHI WA HABARI, 12 NOVEMBA, 2013 IKULU, ZANZIBAR Ndugu W...

UHARIBIFU UWANJA WA TAIFA: SIMBA YALIPISHWA FAINI

Bodi ya Soka imeiadhibu timu ya Simba Sports Club kwa kuiandikia faini ya shilingi 500,000 baada ya mashabiki wake kuvunja viti vya uwanja wa Taifa siku kadhaa zilizopita, aidha Mbeya City nao nao ...

CHADEMA YATUMA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KIFO CHA DK. MVUNGI

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ametuma salaam za rambirambi ya kifo cha Dkt. Edmund Sengondo Mvungi, akitoa pole kwa familia, uongozi na wanachama wa N...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item