MSIGWA AFIKISHWA MAHAKANI LEO

Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mh. Peter Msigwa amefikishwa mahakamani asubuhi hii akihusishwa na vurugu zilizotokea jana jioni akihusis...

Mbunge wa jimbo la Iringa mjini Mh. Peter Msigwa amefikishwa mahakamani asubuhi hii akihusishwa na vurugu zilizotokea jana jioni akihusishwa na uchochezi wakati wa kampeni za udiwani kata ya Nduli. Chini ni picha mbalimbali za tukio la kukamatwa kwake jana jioni na majeruhi wa vurugu hizo.

Polisi  Iringa  wakiyaongoza magari ya  CCM na Chadema ambalo  amepanda  mbunge Msigwa kuingia  kituo cha  polisi baada ya  kuibuka  vurugu kubwa jana

Mbunge wa Iringa mjini akiwa chini ya ulinzi wa polisi jana jioni baada ya kufikishwa kwenye kituo cha polisi mjini Iringa jana.

Polisi akiongoza gari la Mh. Msigwa


Makada wa CCm wakimsaidia kijana Salum aliyejeruhiwa jana jioni kufuatia vurugu hizo
 


Picture credits: Emmanuel Shilatu Blog

Related

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA JOHN TENDWA KUKIFUTA CHADEMA

Msajjili wa vyama vya siasa, John Tendwa Hatimaye msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa ameibuka na kusema sasa anaandaa kalamu yake kukifuta Chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA. Kat...

SIMBA YAKABIDHIWA SH MILLIONI 20 KWA AJILI YA MKUTANO MKUU

Meneja wa Kili, George Kavishe akimkabidhi Katibu wa Simba SC, Evodius Mtawala mfano wa hundi ya shilingi milioni 20 kwa ajili ya Mkutano Mkuu wa wanachama wa klabu hiyo Jana KILI imekabidhi h...

TAMKO LA RAIS NA AMIRI JESHI MKUU JAKAYA MRISHO KIWETE KUHUSU TUKIO LA KUSHAMBULIWA NA KUUWAWA KWA WANAJESHI SABA WA JWTZ WALIOKUWA WAKILINDA AMANI DARFUR SUDAN.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na kuhuzunishwa sana na tukio la kushambuliwa na kuuawa kwa vijana ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904823

HOT POSTSRECENTArchive

RECENT

Archive

item