TASWIRA ZA DARAJA LINALOTENGENISHA DAR NA BAGAMOYO LILILOVUNJIKA KUTOKANA NA MVUA ZINAZOENDELEA KUNYESHA

Sehemu ya daraja iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es salaam  Tunapitaje hapa leo.............. ...

Sehemu ya daraja iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es salaam


 Tunapitaje hapa leo..............





Wananchi wakishangaa tukio hilo

Daraja linalotengenisha Dar es salaam na Bagamoyo lililopo maeneo ya Bunju B limevunjika na kufanya kutokuwepo mawasiliano kati ya Dar na Bagamoyo, wananchi wameshauriwa kutumia barabara ya Morogoro ili kuweza kuingia na kutoka Bagamoyo.

Related

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUKIO LA MLIPUKO KANISANI ARUSHA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ametuma salaam za pole na rambirambi kwa waumini wa Kanisa Katoliki nchini na Watanzania wote kwa ujumla k...

HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI MHE. VINCENT JOSEPHAT NYERERE (MB) KUHUSU MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA BAJETI YA 2012/2013 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KWA MWAKA WA FEDHA 2013/2014

UTANGULIZI Mheshimiwa Spika,kwa Mujibu wa Kanuni ya 99(9) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, toleo la 2013; napenda kuchukua fursa hii kuwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni inayoongozwa...

NAPE AJIBU MAPIGO KATIBA MPYA

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema madai yaliyotolewa bungeni dhidi ya chama hicho hayana ukweli. Katibu wa Halmashauri Kuu, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye alimtupiakombora Mbunge wa Singida ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item