BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU YAFUNGUA OFISI ZA KANDA MWANZA
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Baraka Konisaga akihutubia wageni waalikwa katika hafla ya ufunguzi wa ofisi ya Kanda ya HESLB ...
https://gabriellabridalsolution.blogspot.com/2014/06/bodi-ya-mikopo-ya-wanafunzi-wa-elimu-ya.html
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mh. Baraka Konisaga akihutubia wageni waalikwa katika hafla ya ufunguzi wa ofisi ya Kanda ya HESLB
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Nd. Asangye Bangu akisoma salaam za
makaribisho kwa mgeni rasmi Mh. Baraka Konisaga – Kaimu Mkuu wa Mkoa wa
Mwanza