TANGAZO MUHIMU KWA WALIMU NA VIJANA WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 KUHUSU KUJIUNGA NA MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA MWEZI SEPTEMBA 2014

1. Awamu ya pili kwa vijana watakaojiunga na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mujibu wa Sheria itaanza rasmi tarehe 11 septemba, 2014 na itahu...

1. Awamu ya pili kwa vijana watakaojiunga na Jeshi la Kujenga Taifa kwa Mujibu wa Sheria itaanza rasmi tarehe 11 septemba, 2014 na itahusisha makundi yafuatayo:-
  • Walimu wote ngazi ya cheti (GATCE) 2014 ( Waliomaliza mwaka 2014).
  • Walimu elfu tatu (3,000) ngazi ya Diploma (DSEE) (Waliomaliza mwaka 2014).
  • Vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka 2014 waliopangwa awamu ya pili ambao hawana sifa za kujiunga na vyuo vya  elimu ya juu (Vyuo Vikuu).

2 . Vijana waliomaliza kidato cha sita mwaka 2014 ambao walipangwa kujiunga na JKT awamu ya pili na wana sifa za kujiunga na elimu ya vyuo vya juu (Vyuo Vikuu) wanatakiwa kuandika barua ya kuahirisha kuhudhuria mafunzo ya JKT mpaka hapo watakapomaliza masomo yao. Barua hizo ziwe zimefika Makao Makao Makuu ya Jeshi la Kujenga Taifa kabla ya tarehe 15 Agosti, 2014. Barua zinaweza kutumwa kwa:-
  • Anwani
    • Mkuu wa JKT
    • Makao Makuu ya JKT
    • P.o.Box 1694, Dar es Salaam
  • E-mail: info@jkt.go.tz (barua iwe na sahihi ya mhusika na ifanyiwe “scanning”).
  • Barua iletwe na mhusika Makao Makuu ya JKT.

3. Awamu ya tatu ambayo itahusisha walimu wa Diploma (DSEE) itaanza mwezi Januari 2015.

TANGAZO HILI LIMETOLEWA NA MKUU WA JESHI LA KUJENGA TAIFA


Related

FURSA KWA WANAHABARI: WIN an Invitation to AfricaCom 2014, Africa’s Leading Telecoms Event

APO will offer transport, accommodation and perdiem for one African journalist to attend the AfricaCom 2014 APO will offer transport, accommodation and perdiem for one African journalist to atten...

VIJANA WATAKIWA KUWEKA MSISITIZO KWENYE MASOMO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA ILI WAWEZE KUWA WAJUZI NA KULETA MAENDELEO NCHINI

   Rais Mstaafu wa awamu ya Tatu, Mhe. Benjamini Wiliam Mkapa akiwahutubia Wajumbe waliohudhuria mkutano wa Jiolojia uliofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa J.K Nyerere Jijini Dar es Sa...

TAARIFA RASMI KUTOKA JESHI LA MAGEREZA DHIDI YA UZUSHI KUWA BABU SEYA NA MWANAE WAMEACHIWA HURU

TANGU majira ya mchana kuna taarifa zilizagaa kwamba Babu Seya na mwanae Papi Kocha walikuwa wameachiwa huru na kuanza kusambazwa ujumbe mfupi wa simu za mkononi na kwenye mitandao ya kijamii. ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904759
item