MIYEYUSHO KUZIPIGA NA NORFAT OKTOBA 5 MKWAKWANI TANGA

Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitunishiana misuli na  Emilio Norfat baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga  Oktoba 5 katika uwanja wa M...

Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitunishiana misuli na Emilio Norfat baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Oktoba 5 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga mpambano wa raundi nane  katikati ni Mratibu wa mpambano huo Anton Rutta.

 Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitunishiana misuli na Emilio Norfat baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Oktoba 5 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga mpambano wa raundi nane makubaliano hayo yalifanyika  Dar es salaam jana.
 Mabondia Emilio Norfat wa pili kushoto  akitia saini ya kupambana na 
Francis Miyeyusho kulia  katika mpambano utakaofanyika 
Oktoba 5 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga mpambano wa raundi nane  makubaliano hayo yalifanyika Dar es salaam jana wengine ni Ibrahimu Kamwe na Anton Rutta  

 Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitunisha msuli pamoja na Emilio Norfat baada ya kusaini mkataba wa 
kupanda uringoni Oktoba 5 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga mpambano wa raundi nane.






Bondia Francis Miyeyusho kushoto akitunisha msuli pamoja na Emilio Norfat baada ya kusaini mkataba wa kupanda uringoni Oktoba 5 katika uwanja wa Mkwakwani Tanga mpambano wa raundi nane 
Picha zote na:

Related

TUJUZANE 1201361983054490219

Post a Comment

emo-but-icon

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

RECENT

Archive

item