BUNGE LA KATIBA: KAMATI KUANZA KUWASILISHA SURA ZILIZOSALIA ZA RASIMU YA KATIBA

Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma. 01/09/2014. KAMATI 12 za Bunge Maalum la Katiba kesho zitaanza kuwasilisha Sura zilizosalia...


Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
01/09/2014.
KAMATI 12 za Bunge Maalum la Katiba kesho zitaanza kuwasilisha Sura zilizosalia za Rasimu ya Katiba Mpya ambazo ni Sura ya Pili, Tatu, Nne na ya Tano kwa mujibu wa ratiba iliyopangwa tangu tarehe 5 Agosti, Mwaka huu.

Hayo yamesemwa leo na Katibu wa Bunge Maalum la Katiba Yahya Khamis Hamad wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa Habri kwenye Ukumbi wa Spika mjini Dodoma.
“Kila Kamati imeshandaa taarifa kwa ajili ya kuiwasilisha katika Bunge hapo kesho”, alisema Katibu huyo.
Aidha, Katibu huyo ameongeza kuwa baada ya sura hizo kumalizika, Sura zitakazofuata ni Sura ya Saba, Nane na 14 na nyingine ni sura mpya.

Ameongeza zaidi kuwa, utaratibu huo utaendelea mpaka sura zote zitakapomalizika siku ya tarehe 8 Septemba, 2014 saa mbili usiku.
Katibu ameongeza kuwa Bunge hilo litaanza kujadili Sura hizo za Rasimu ya Katiba Mpya kuanzia siku ya tarehe 9 Septemba, 2014.

Related

SOMA HAPA RASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA YA MWAKA 2013

Rais Kikwete akiwa amekabidhiwa rasimu hiyo leo. RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amekabidhiwa rasimu ya pili ya katiba mpya na tume ya katiba inayoongozwa na mwenyekiti...

BINGWA WA DUNIA MBIO ZA MAGARI MICHAEL SCHUMACHER TAABANI

Bingwa wa dunia mara 7 wa mbio za magari yuko mahututi, michael aliumia vibaya ubongo wakati akishiriki mchezo wa kuteleza kwenye barafu nchini Ufaransa. Tazama video inayoonyesha direkta wa hospi...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item