OSCAR HATIANI KWA KUUA BILA KUKUSUDIA

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya Akitoa ...

Mwanariadha mlemavu wa Afrika Kusini Oscar Pistorius, amepatikana na hatia ya kumuua mpenziwe Reeva Steenkamp kwa bahati mbaya
Akitoa uamuzi wake jaji Thokozile Masipaal alisema kuwa mwanariadha huyo alimuua Reeva kwa bahati mbaya alipofyatua risasi kupitia kwa mlango wake wa choo akiw akatika hali ua mshtuko akidhani kuwa jambazo alikuwa amevamia nyumba yake.
Alisema kuwa upande wa mashitaka umeshindwa kuthibitisha kuwa Pistorius alinuia kumuua Steenkamp nw akutekeleza mauaji hayo kwa kusudi.
Pia alipatikana na hatia ya kosa la kutumia silaha yake visivyo alipokwenda mgahawani.
BBC SWAHILI

Related

HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS – FEDHA, UCHUMI NA MIPANGO YA MAENDELEO KUHUSU MPANGO WA MAENDELEO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2013/14 KATIKA BARAZA LA WAWAKILISHI

MHESHIMIWA OMAR YUSSUF MZEE UTANGULIZI1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kuwa Baraza lako tukufu likae kama Kamati maalum ya kujadili na hatimae kuidhinisha mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo na...

FIFA PRESIDENT IN SERBIA

Joseph S. Blatter (First right) with the President of the Football Association of Serbia Tomislav Karadzic (Second right) in Serbia FIFA President Joseph S. Blatter today (12/06/2013) paid an...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item