AT CARAVAN SERAI - WALIKARIBISHWA NA MFANO WA MTUMWA ALIVYOKUWA ANABEBESHWA PEMBE ZA NDOVU Maelezo kutoka kwa mtaalamu BAADA YA MAELEZ...
https://gabriellabridalsolution.blogspot.com/2013/04/vijana-walipofanya-utalii-wa-ndani-huko.html
AT CARAVAN SERAI - WALIKARIBISHWA NA MFANO WA MTUMWA ALIVYOKUWA ANABEBESHWA PEMBE ZA NDOVU
 |
Maelezo kutoka kwa mtaalamu |
BAADA YA MAELEZO MAWILI MATATU UTALII UKAENDELEA
 |
Kisima kisichokauka Maji |
Picha za kumbukumbu kwenye kaburi la wapendano
 |
Walipotumia kuwanyonga babu zetu |
 |
Mbuyu unakadiriwa kuwa na miaka zaidi ya 800 |
 |
Msalabani |
 |
Jiwe la msingi linavyosomeka hapo msalabani |
 |
Kandambili waliyovaa kina babu na bibi |
 |
Pingili ya Uti wa mgongo wa Nyangumi |
 |
Nyavu iliyotumika kwa shughuri za uvuvi |
 |
Mtumwa wa mwisho |
 |
Shughuli za uvuvi zinaendelea hadi leo |
WANAWASHAURI NA WENGINE WAENDE KUJIONEA KUMBUKUMBU ZETU NZURI AMBAZO HUWEZI KUZIPATA SEHEMU YOYOTE DUNIANI.