TAARIFA YA HALI YA MAJERUHI WA MLIPUKO WA BOMU LA SOWETO, ARUSHA

Mganga Mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha, Dk Josiah Mlay amewamtaja marehemu wa mlipuko uliotokea jana mkutanoni Soweto, Arusha kuwa...

Mganga Mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Arusha, Dk Josiah Mlay amewamtaja marehemu wa mlipuko uliotokea jana mkutanoni Soweto, Arusha kuwa ni Judith Mushi, (46) mkazi wa Sokoni One, jijini Arusha.Mama Judith Moshi ambaye aliwahi kuwa M/Kiti wa Baraza la Wanawake wa CHADEMA (BAWACHA) Wilaya ya Arusha Mjini na mpaka mauti yanamkuta alikuwa ni Katibu wa Chama Kata ya Sokoni.  Na mwingine ni kijana wa kiume anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka kati ya 15-16 asiyetambulika jina bado, ambaye alifia katika hospitali ya AICC.

Dk Mlay, amesema katika tukio hilo hospitail hiyo imepokea majeruhi 10, kati yao 9 ni wanaume na mwanamke mmoja aitwaye Sharifa  Jumanne, ambaye hali yake imeelezwa kuwa mbaya. Amesema kuwa katika uchunguzi wa awali imegundulika kuna kuipande cha chuma kwenye mapafu ambacho kinatokana na mlipupuko huo.

Aidha, amesema kuwa majeruhi mwingine aliyepata majeraha ya kichwa  amehamishiwa kwenye hospitali ya Seliani ya Arusha  kwa uchunguzi zaidi akisubiriwa kupelekwa kwenye hospitali ya rufani ya KCMC, Moshi.

Dk Mlay, amesema hali za majeruhi wengine waliolazwa katika hospitali ya mkoa wa Arusha ya Mount Meru, zinaendelea vizuri.

Mkuu wa Mkoa, Magesa Mulongo, amewatembelea majeruhi wa mlipuko huo waliolazwa mahospitalini.

Viongozi mbalimbali wa CHADEMA wametembelea eneo la tukio.


SOURCE: CHADEMA SOCIAL MEDIA

Related

TAASISI YA VYOMBO VYA HABARI KUSINI MWA AFRIKA(MISA-TAN) YAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUTOA MATOKEO YA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA

 Mkurugenzi  wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Simon Berege (kushoto) akiwakaribisha wageni waalikwa na wa...

RAIS WA ZANZIBAR MGENI RASMI KATIKA MAHAFALI CHUO CHA UDAKTARI ZANZIBAR

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akitoa zawadi kwa Fatma Mrisho Haji akiwa ni miongoni mwa wanafunzi bora waliopata zawadi katika Mahfali ya Kwanza ...

KESI YA KIKATIBA: PINGAMIZI LA AG DHIDI YA KUBENEA, WANASHERIA LATUPWA

DAR ES SALAAM Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetupilia mbali pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG) dhidi ya kesi ya kikatiba inayohoji uhala...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904823

HOT POSTSRECENTArchive

RECENT

Archive

item