TAMASHA LA UZINDUZI WA ALBAM YA NYIMBO ZA INJILI YA MWIMBAJI NINGILE MWAKATAGE ULIOFANYIKA JANA TAREHE 02/06/2013 UKUMBI WA URAFIKI ULIOPO UBUNGO SHEKILANGO
Mgeni Rasmi kushoto na Mama Asha Baraka wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa albam hiyo Jana siku ya jumapili mwimbaji wa injili anayek...
https://gabriellabridalsolution.blogspot.com/2013/06/tamasha-la-uzinduzi-wa-albam-ya-nyimbo.html
| Mgeni Rasmi kushoto na Mama Asha Baraka wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa albam hiyo |
- Ni Wewe Pekee
- Mwanambuzi
- Syanaloli (Ni hakika)
- Liko Tumaini
- Ndoa
- Nasema Asante
- Inua Moyo na
- Utukuzwe
| Trinity wakimsifu Mungu |
| Sebene ilikolea hapa |
| Mc wa shughuli alikuwa mtangazaji machachari wa WAPO RADIO Ritha Chiwalo |
| Neema Mwaipopo wa pili kutoka kulia na Sololist wa Urafiki Fellowship Singers Da Rose wa sita kutoka kulia wakiyarudi mangoma ya YESU na wapendwa wengine |
| Mchungaji alifanya maombi kabla ya uzinduzi |
| wanazindua |
| Tayari |
| Mmeiona jamaniii???????????? |
| Akipongezwa na Mume wake |
| Mama Asha Baraka akisema lake kusapoti huduma |
| Akipata nakala yake ya DVD |
| Kada wa chama nae ya kwake |
| Muimbaji wa Urafiki Fellowship Singers "a.k.a Mrs Enock" |
| Baada ya hapo ilikuwa ni kucheza sebene la YESU |
| Ritha Chiwalo wa WAPO RADIO |