TAMASHA LA UZINDUZI WA ALBAM YA NYIMBO ZA INJILI YA MWIMBAJI NINGILE MWAKATAGE ULIOFANYIKA JANA TAREHE 02/06/2013 UKUMBI WA URAFIKI ULIOPO UBUNGO SHEKILANGO
Mgeni Rasmi kushoto na Mama Asha Baraka wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa albam hiyo Jana siku ya jumapili mwimbaji wa injili anayek...
Mgeni Rasmi kushoto na Mama Asha Baraka wakikata utepe kuashiria uzinduzi wa albam hiyo |
- Ni Wewe Pekee
- Mwanambuzi
- Syanaloli (Ni hakika)
- Liko Tumaini
- Ndoa
- Nasema Asante
- Inua Moyo na
- Utukuzwe
Trinity wakimsifu Mungu |
Sebene ilikolea hapa |
Mc wa shughuli alikuwa mtangazaji machachari wa WAPO RADIO Ritha Chiwalo |
Neema Mwaipopo wa pili kutoka kulia na Sololist wa Urafiki Fellowship Singers Da Rose wa sita kutoka kulia wakiyarudi mangoma ya YESU na wapendwa wengine |
Mchungaji alifanya maombi kabla ya uzinduzi |
wanazindua |
Tayari |
Mmeiona jamaniii???????????? |
Akipongezwa na Mume wake |
Mama Asha Baraka akisema lake kusapoti huduma |
Akipata nakala yake ya DVD |
Kada wa chama nae ya kwake |
Muimbaji wa Urafiki Fellowship Singers "a.k.a Mrs Enock" |
Baada ya hapo ilikuwa ni kucheza sebene la YESU |
Ritha Chiwalo wa WAPO RADIO |