WOSIA WA MANDELA NA MAHALI ANAPOPENDA MAZISHI YAKE YAFANYIKE WAANDIKWA

Mifugo ya Mandela iliyopo Qunu Nelson Mandela alitoa maelekezo ya kwamba azikiwe maeneo ya vijijini milimani na si Pretoria, hii iliibuka ja...

Mifugo ya Mandela iliyopo Qunu

Nelson Mandela alitoa maelekezo ya kwamba azikiwe maeneo ya vijijini milimani na si Pretoria, hii iliibuka jana wakati maombi yanaendelea nje ya hospitali aliyolazwa kiongozi huyo wa zamani wa Afrika kusini.

Mandela aliacha wosia kwenye karatasi ya A4 ambao ulikuwa unaelekeza familia yake kwamba waiachie serikali kushughurukia shughuli za mazishi yake, lakini baadae kuuzika mwili wake kijijini kwao Qunu eneo lililopo umbali wa miles 600 Eastern Cape.

Related

MKUU WA MKOA WA MARA AANGUKA OFISINI

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema, Mkuu wa Mkoa wa Mara Mh. John Tuppa ameanguka na kutokwa povu akiwa ofisi ya DC Tarime, John Henjewele asubuhi hii. Mkuu huyo wa Mkoa amekimbizwa ofisini k...

MICHELLE OBAMA VISITS CHINA

 Chinese President Xi Jinping and his wife, Peng Liyuan, greet U.S. first lady Michelle Obama with her daughters, Malia, right, and Sasha, at the Diaoyutai State guest house in Beijing. ...

HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA MMBUNGE WA NZEGA , HAMISI KIGWANGALLA BAADA YA KUKOSWAKOSWA NA RISASI ZA POLISI

kupitia ukurasa wake wa Facebook Hamisi kaandika "Nimenusurika kuuawa muda si mrefu. Mungu mkubwa. Askari kwenye gari ananiambia na bahati yako nimekukosa, nililenga kichwa....kijana mmoja alik...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904812
item