ANGELLA KAIRUKI ASIMIKWA KUWA KAMANDA WA UVCCM SAME, TAZAMA PICHA

  Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, akila kiapo cha kusimikwa kuwa kamanda wa umoja wa vijana UVCCM wilaya ya Same. ...

 Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, akila kiapo cha kusimikwa kuwa kamanda wa umoja wa vijana UVCCM wilaya ya Same.
 Katibu mkuu wa Umoja wa Vijana UVCCM Sixtus Mapunda, akimsimika Naibu Waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki, kuwa Kamanda wa Vijana wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro.
 Katibu mkuu wa umoja wa Vijana UVCCM, Sixtus Mapunda akimsomea , Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki kiapo cha ukamanda

Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki akizindua Shina la wakereketwa wa umoja wa Vijana Uvccm, baada ya kusimikwa kuwa kamanda wa umoja huo wilayani Same.

 Katibu mkuu wa umoja wa Vijana UVCCM, Sixtus Mapunda akimsomea , Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki kiapo cha ukamanda.
Naibu waziri wa Sheria na Katiba Angellah Kairuki akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa timu za mpira, baada ya kuwakabidhi vifaa vya michezo, kama njia ya kuwaunganisha vijana
pamoja. 
Picha zote na Fadhili Athumani

Related

OTHER NEWS 4150252873365788941

Post a Comment

emo-but-icon

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

RECENT

Archive

item