MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA JOHN TENDWA KUKIFUTA CHADEMA

Msajjili wa vyama vya siasa, John Tendwa Hatimaye msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa ameibuka na kusema sasa anaandaa kalam...

Msajjili wa vyama vya siasa, John Tendwa
Hatimaye msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa ameibuka na kusema sasa anaandaa kalamu yake kukifuta Chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA.
Katika Taarifa yake kwa vyombo vya habari  Tendwa amesema CHADEMA wanataka kuanzisha kikundi cha mgambo ambacho ni kinyume na sheria, katiba ya nchi na sheria za usajili wa vyama.
Msajili huyo amesema kwamba kama madai ya CHADEMA ni kuanzisha kikundi cha kujilinda dhidi ya Green Guard wa CCM madai hayo hayana msingi wowote kwani kama CHADEMA wana taarifa kwamba Green Guard wanahatarisha amani basi wanapaswa kuripoti suala hilo polisi ili lifanyiwe kazi kwa mujibu wa sheria.
Tendwa amezidi kuonya kwamba uamuzi wake ni wa mwisho na atakapoifuta CHADEMA maamuzi yake hayapingwi popote kisheria.

Source:  Global Publishers

Related

Endapo itatokea Mhe. Edward Lowassa akagombea Urais kweli sintompa kura yangu-Kigwangalla

Mbunge wa jimbo la Nzega,Hamis Kigwangalla- Jana nilialikwa na dada yangu Fina wa Mango kwenye show yake adhimu ya Makutano na Fina Mango. Nianze kwa kumshukuru dada Fina na timu yake k...

PICHA ZA RAIS JAKAYA KIKWETE NA WASANII WA TANZANIA ALIPOWAFUTURISHA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM

Rais akiwa na Shilole pamoja na PHD Msanii gwamaka nae alikuwepo Msosi time Wadada na Mama Salma Kikwete Pictures thanx to Mashughuli Blog

CCM YAIPONGEZA SERIKALI KWA KUREJESHA BUNGENI MUSWADA SHERIA YA KODI YA TOZO YA LAINI ZA SIMU

A MWANDISHI WETU CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeipongeza serikali, kwa uamuzi wake kurejesha bungeni kwa ajili ya mdajala zaidi, muswada wa sheria ulioanzisha kodi mpya ya tozo ya sh. 1,000 kwa lai...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item