OFISI MPYA ZA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

HESLB new offices, Mwenge, Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawajuli...

HESLB new offices, Mwenge, Dar es Salaam.
Taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji.
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawajulisha wadau wake wote kuwa Ofisi yake ya Makao Makuu imehama kutoka Jengo la TIRDO, Barabara ya Kimweri, Msasani kwenda  Kiwanja Na. 8, Kitalu Na. 46, Barabara ya Sam Nujoma, Mwenge, Dar es Salaam.  Huduma zote ikiwa ni pamoja na maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao (OLAS) kwa sasa zimerejea katika hali ya kawaida.

Related

OTHER NEWS 4757643209515746498

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

RECENT

Archive

item