MKURUGENZI WA BODI YA UTALII AFUTWA KAZI

Dkt. Aloyce Nzuki Wizara ya maliasili na Utalii imemfuta kazi mkurugenzi wa bodi ya utalii Tanzania dokta Aloyce Nzuki kwa kutokuw...


Dkt. Aloyce Nzuki

Wizara ya maliasili na Utalii imemfuta kazi mkurugenzi wa bodi ya utalii Tanzania dokta Aloyce Nzuki kwa kutokuwa na imani nae pamoja na utendaji usioridhisha.
Hii imekuja baada ya kikao cha pamoja kati ya Bodi hiyo na waziri wa maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu ambao waliketi pamoja na kutathmini utendaji kazi ya Mkurugenzi huyo.
Waziri NYALANDU amekiri kupokea Changamoto kadhaa zinazokwamisha ufanisi wa majukumu ya Bodi ya Utalii katika kusimamia Sekta hiyo na kusema ‘mimi na Naibu waziri wangu nimeridhika na kuridhia kuondolewa kazini kwa Aloyce Mzuki’
Kwenye sentensi nyingine Waziri Nyalandu amesema ‘sisi kama Wizara tutampangia kazi nyingine, vilevile nimeiagiza bodi ya utalii Tanzania waitangaze nafasi ya Mkurugenzi mkuu wa bodi ya utalii nchini’
Mwingine aliezungumza ni mwenyekiti wa bodi hiyo Balozi Charles Sanga aliesema sekta ya utalii inahitaji mabadiliko makubwa katika kufikia azma ya Serikali ya kuongeza idadi ya watalii nchini kuliko taifa lingine lolote barani Afrika.
Kwa sasa nafasi hii ya mkurugenzi itakaimiwa na Devotha Mdachi ambae ni mkurugenzi wa masoko katika bodi.

Related

KIKWETE: SHUTUMA DHIDI YA TANZANIA DRC NI ZA KUDHARAULIWA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. -Ni kusadikika tu kwa watu wanaojipa kazi ya kufikiria kwa niaba ya Tanzania Tanzania imesema kuwa ni jambo la kus...

RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM ZANZIBAR

 Mwenyekiti wa CCM,Rais Dkt Jakaya Kikwete akipokelewa na  Katibu Mkuu wa CCM,Ndg.Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwasili katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM,Kisiwandui mjini Zanziba...

Serikali yasaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa wa kutoa maji kutoka mto Ruvuma hadi Mtwara

 Katibu Mkuu Wizara ya Maji Mhandisi Mbogo Futakamba akiwa na Rais wa Kampuni ya China Railway International Group Co. Ltd Dkt. Lu Bo wakisaini makubaliano ya utekelezaji wa mradi wa kutoa...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904763
item