DHAMANA YA PONDA YAKATALIWA

Mahakama mkoani Morogoro imemnyima Ponda Issa ponda dhamana kwenye kesi yake ya uchochezi katika uamuzi uliotoka leo, hivyo amerudishwa...

Mahakama mkoani Morogoro imemnyima Ponda Issa ponda dhamana kwenye kesi yake ya uchochezi katika uamuzi uliotoka leo, hivyo amerudishwa rumande hadi kesi yake itakapotajwa tena Octoba 1 ambapo mahakama itatoa uamuzi juu ya pingamizi aliloweka kuzuia isiamue hatma ya kifungo chake cha nje alichopewa na mahakama ya Kisutu mwezi Mei mwaka huu.

Related

WAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI MWAKA 2013/2014 BAADA YA USAILI KUKAMILIKA

1.Wahitimu wataondoka tarehe 19/11/2013 kwenda Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, mabasi yataondoka Polisi Ufundi Dsm saa 06.00 asubuhi. Mwisho wa kuriporti Chuoni ni tarehe 23/11/2013. Atakaye...

KINANA ALIPOWASILI MTWARA LEO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasilimia baadhi ya viongozi wa CCM, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege mjini Mtwara asubuhi hii Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ...

KINANA KUANZA ZIARA YA SIKU 22 RUVUMA NA MBEYA IJUMAA HII

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema ziara ambazo zimekuwa zikifanywa na Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana, zimeanza kuzaa matunda hasa upande wa utatuzi wa kero zinazowakabili wananchi. Hayo...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item