DHAMANA YA PONDA YAKATALIWA

Mahakama mkoani Morogoro imemnyima Ponda Issa ponda dhamana kwenye kesi yake ya uchochezi katika uamuzi uliotoka leo, hivyo amerudishwa...

Mahakama mkoani Morogoro imemnyima Ponda Issa ponda dhamana kwenye kesi yake ya uchochezi katika uamuzi uliotoka leo, hivyo amerudishwa rumande hadi kesi yake itakapotajwa tena Octoba 1 ambapo mahakama itatoa uamuzi juu ya pingamizi aliloweka kuzuia isiamue hatma ya kifungo chake cha nje alichopewa na mahakama ya Kisutu mwezi Mei mwaka huu.

Related

ZANZIBAR INA MWELEKEO MZURI WA KUIMARISHA AFYA

Na Khamis Haji, OMKR Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesema mafanikio yaliyoweza kupatikana katika sekta ya afya miaka ya hivi karibuni ni ishara kuwa Z...

PRESIDENT UHURU KENYATTA AND DEPUTY WILLIAM RUTO WILL NO LONGER ATTEND IN PERSON TRIAL AT ICC

Ambassador Amina Mohammed has finally let the president out of ICC Chief Prosecutor Fatou Bensouda fishing net when Kenya forced an amendment to Rules of Procedure and Evidence at the ongoing As...

ZITTO AJIWEKA NJIA PANDA

   ALIYEKUWA Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe amejiweka katika mazingira magumu zaidi kisiasa ndani ya chama hicho, kutokana na shaka kubwa il...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item