MAONYESHO YA NYARAKA ZA KITAIFA NA KUMBUKUMBU ZA OMAN YAZINDULIWA NA MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya nyaraka ya ...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika.katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye ufunguzi wa maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Hifadhi ya kumbukumbu za Kitaifa za Oman Dk.t Hemed Mohammed Al-Dhawyani kwenye ufunguzi wa maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika  katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia nyaraka za aina mbalimbali za kumbukumbu kwenye maonesho ya nyaraka za kitaifa na kumbukumbu za Oman mara baada ya kufungua maonesho hayo, katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa maonesho ya kumbukumbu za nyaraka ya kitaifa za Oman mara baada ya kufungua maonesho hayo leo Sept 09-2013 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

Related

NEWS UPDATE!! MKUU WA MKOA WA MARA AFARIKI DUNIA

 Marehemu John Tuppa Mkuu wa Mkoa wa Mara Mh. John Tuppa amefariki dunia muda mfupi uliopita baada ya kufikishwa hospitali asubuhi ya leo baada ya kuanguka ofisini kwa DC huko Tarime. Mkuu...

MKUU WA MKOA WA MARA AANGUKA OFISINI

Habari zilizotufikia hivi punde zinasema, Mkuu wa Mkoa wa Mara Mh. John Tuppa ameanguka na kutokwa povu akiwa ofisi ya DC Tarime, John Henjewele asubuhi hii. Mkuu huyo wa Mkoa amekimbizwa ofisini k...

MICHELLE OBAMA VISITS CHINA

 Chinese President Xi Jinping and his wife, Peng Liyuan, greet U.S. first lady Michelle Obama with her daughters, Malia, right, and Sasha, at the Diaoyutai State guest house in Beijing. ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904759
item