MAONYESHO YA NYARAKA ZA KITAIFA NA KUMBUKUMBU ZA OMAN YAZINDULIWA NA MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya nyaraka ya ...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika.katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye ufunguzi wa maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Hifadhi ya kumbukumbu za Kitaifa za Oman Dk.t Hemed Mohammed Al-Dhawyani kwenye ufunguzi wa maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika  katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia nyaraka za aina mbalimbali za kumbukumbu kwenye maonesho ya nyaraka za kitaifa na kumbukumbu za Oman mara baada ya kufungua maonesho hayo, katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa maonesho ya kumbukumbu za nyaraka ya kitaifa za Oman mara baada ya kufungua maonesho hayo leo Sept 09-2013 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

Related

ALIYEJIFUNGUA WATOTO MAPACHA WANNE APATA MSAADA

 Akikabidhiwa maziwa ya watoto  Kushoto ndiye mume wa Aida yaani baba mzazi wa watoto watoto mapacha wanne  Mkurugenzi wa Shule ya Skondari ya Vanessa iliyopo Isyesye Ji...

WATU 10 WAFARIKI DUNIA PAPO HAPO HUKU WENGINE 28 WAKIWA KATIKA HALI MBAYA NI BAADA YA BASI KUPATA AJALI MKOANI LINDI

 Baadhi ya miili ya watu waliopoteza maisha katika ajali hiyo wakiwa mtaroni.. Kwakweli inasikitisha sana, hiyo ikiwa ni ajali mbaya kutokea kwa januari 20 baada ya ajali nyingine mbili...

SOUTH AFRICAN ACTRESS LESEGO MOTSEPE HAS DIED.

Her body was discovered by her brother Moemise Motsepe around 11am today at her home in Randburg, her family said in a statement. She was declared dead at 1pm by paramedics. She died of natura...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item