MAONYESHO YA NYARAKA ZA KITAIFA NA KUMBUKUMBU ZA OMAN YAZINDULIWA NA MAKAMU WA RAIS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya nyaraka ya ...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua rasmi maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika.katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye ufunguzi wa maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam.
  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt.  Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Mamlaka ya Hifadhi ya kumbukumbu za Kitaifa za Oman Dk.t Hemed Mohammed Al-Dhawyani kwenye ufunguzi wa maonesho ya nyaraka ya kitaifa na kumbukumbu za Oman yaliyofanyika  katika ukumbi wa Mlimani  City jijini Dar es salaam
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiangalia nyaraka za aina mbalimbali za kumbukumbu kwenye maonesho ya nyaraka za kitaifa na kumbukumbu za Oman mara baada ya kufungua maonesho hayo, katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa maonesho ya kumbukumbu za nyaraka ya kitaifa za Oman mara baada ya kufungua maonesho hayo leo Sept 09-2013 katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam.

Related

ASKARI WA CHUO CHA MAFUNZO MBARONI KWA KUPORA FEDHA

Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi, Zanzibar Jeshi la Polisi Zanzibar linamshikilia Askari mmoja wa Chuo cha Mafunzo kwa tuhuma za wizi wa shilingi 1,635,000 alizoziiba kutaka katika duka ...

DAKTARI ALIYEIBA WATOTO AHUKUMIWA CHINA

Daktari mmoja katika mkoa wa Kaskazini wa Shanxi nchini Uchina amehukumiwa kifo baada ya kupatikana na hatia ya kuwaiba watoto saba kutoka hospitali aliyokuwa akihudumu na kuwauza watoto hao kw...

PINDA KWENDA KITETO KUTAFUTA SULUHU YA MAPIGANO

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda leo anakwenda Wilaya ya Kiteto, Arusha kutafuta suluhu ya mapigano baina ya wakulima na wafugaji katika Hifadhi ya Embroi Murtangosi yaliyosababisha vifo vya watu 10. ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904765
item