JAJI WA MAHAKAMA YA RUFANI NCHINI AAPISHWA KUWA JAJI WA MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA MAKOSA YA JINAI (ICC)YA NCHINI CAMBODIA

AJI wa Mahakama ya Rufani (T), Mhe.Dr. Stephen Bwana ameapishwa leo (Alhamisi) kuwa Jaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC...

AJI wa Mahakama ya Rufani (T), Mhe.Dr. Stephen Bwana ameapishwa leo (Alhamisi) kuwa Jaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC) ya nchini Cambodia. 

Uapisho huo unafuatia baada ya kuteuliwa kwake na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, 
Mhe. Ban. Ki Moon kwa kushauriana na Mfalme wa Cambodia, Mtukufu Norodom Sihamoni
mnamo tarehe. 09.05.2012.

Kabla ya uteuzi huo Dr. Bwana ambaye ni Jaji wa Mahakama ya Rufani (T) aliwahi kushika nafasi mbalimbali Kama Jaji wa Mahakama Kuu, Seychelles, 1994-1999, Jaji
wa Mahakama ya Rufaa ya Seychelles 2004-2009, pia Kaimu Rais wa Mahakama hiyo ya Rufani
kuanzia Mwaka 2006-2008.

Mbali na kushika nyadhifa hizo, Dr. Bwana pia aliwahi kuwa, Mshauri wa Benki ya Dunia Kuhusu
uboreshaji wa shughuli za Mahakama, Afrika (2003-2008), Msajili, Mahakama ya Rufani (T),
1989-1994, Msajili, Mahakama Kuu ya Tanzania 1989 na Hakimu Mkazi 1974.

Related

HIZI NDIZO SILAHA ZA JADI NA CD ZINAZODAIWA KUELEKEZA NAMNA YA KUFANYA MAFUNZO YA KIJESHI KWA MAKUNDI YA AL-SHABAAB NA AL-QAEDA ZILIZOKAMATWA MKOANI MTWARA NA JESHI LA POLISI

CD zilizokamatwa na askari wa jeshi la polisi Mtwara ikiwemo na kuwakamata vijana 11 ambao wanadaiwa walikua wakifanya mazoezi ya kijeshi waliyokua wakijifunza kutoka kwenye CD za magaidi ziliz...

VIONGOZI WA VYAMA VYA UKOMBOZI IHEMI

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu akiwaongoza viongozi wa vyama vya ukombozi mara tu walipowasili mkoani Iringa kwa ziara ya siku moja ya kutembelea chuo cha Ihemi, Vion...

Tunataka Katiba Mpya iwajali Wakulima na Wananchi wa Vijijini: ZITTO

  Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa Mh. Zitto Kabwe (Mb) amesema Katiba Mpya ni lazima iwajali Wakulima na Wananchi wanaoishi vijijini hapa nchini maana wametelekezwa kwa muda mrefu, kudhul...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904877
item