BOTI YAWAKA MOTO

Wavuvi wapatao 11 wameokolewa kutoka kwenye jahazi iliyokuwa ikiwaka moto kwenye bahari ya hindi, 10km toka bandari ya Dar es salaam lei a...

Wavuvi wapatao 11 wameokolewa kutoka kwenye jahazi iliyokuwa ikiwaka moto kwenye bahari ya hindi, 10km toka bandari ya Dar es salaam lei asubuhi. Chanzo cha ajali hiyo ni injini, polisi imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Related

SAKALA LA KUTEKWA KWA DK ULIMBOKA, AFUTIWA KESI YA KUMTEKA LAKINI ASHTAKIWA KWA KUDANGANYA KUMTEKA.

DAR ES SALAAM.  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemfutia mashtaka raia wa Kenya, Joshua Mulundi kuhusu kumteka na kumjeruhi Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Uli...

NI VIGUMU KUIFUTA CHADEMA : WASIRA

*Akiri kuwa kazi hiyo si nyepesi Kukifuta Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) si rahisi; amethibitisha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wasira. Kauli ya...

Endapo itatokea Mhe. Edward Lowassa akagombea Urais kweli sintompa kura yangu-Kigwangalla

Mbunge wa jimbo la Nzega,Hamis Kigwangalla- Jana nilialikwa na dada yangu Fina wa Mango kwenye show yake adhimu ya Makutano na Fina Mango. Nianze kwa kumshukuru dada Fina na timu yake k...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item