BOTI YAWAKA MOTO

Wavuvi wapatao 11 wameokolewa kutoka kwenye jahazi iliyokuwa ikiwaka moto kwenye bahari ya hindi, 10km toka bandari ya Dar es salaam lei a...

Wavuvi wapatao 11 wameokolewa kutoka kwenye jahazi iliyokuwa ikiwaka moto kwenye bahari ya hindi, 10km toka bandari ya Dar es salaam lei asubuhi. Chanzo cha ajali hiyo ni injini, polisi imethibitisha kutokea kwa tukio hilo.

Related

MSANII WA FILAMU ZA KISWAHILI TANZANIA LULU MICHAEL AKABIDHIWA TUZO YAKE YA ZIFF

LULU AKIPOKEA TUZO YA ZIFF YA MSANII BORA WA KIKE KATIKA FILAMU ZA KISWAHILI AKIONYESHA TUZO NA CHETI, KAZI NZURI BINTI KEEP IT UP!

MWENYEKITI WA CHADEMA MBOWE MBARONI

  MWENYEKITI wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa madai ya kutoa kauli za uchochezi dhidi ya jeshi hilo, vyombo vya d...

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA JOHN TENDWA KUKIFUTA CHADEMA

Msajjili wa vyama vya siasa, John Tendwa Hatimaye msajili wa vyama vya siasa nchini, John Tendwa ameibuka na kusema sasa anaandaa kalamu yake kukifuta Chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA. Kat...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item