TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA MJINI KIGOMA: MWISHO WA RELI, MAKUMBUSHO YA DR. LIVINGSTONE NA UTAALAMU WAO KWENYE DAGAA

Left:  Henry and Right: Dr. Livingstone Hapa ndio Mwisho wa Reli Kigoma   Jengo la Stesheni lililopo Kigoma mjini ...

Left:  Henry and Right: Dr. Livingstone



Hapa ndio Mwisho wa Reli Kigoma

Jengo la Stesheni lililopo Kigoma mjini





Stand ya daladala kigoma mjini

Boda boda na huku tupo.....

Picha ya kumbukumbu reli inapoishia

Jengo la steshen kwa nyuma

MAKUMBUSHO YA DR. LIVINGSTONE - KIGOMA UJIJI


MJI WA UJIJI




 VIINGILIO HIVI HAPA


DR. LIVINGSTON NI NANI?


PICHA MBALIMBALI NDANI YA MAKUMBUSHO





Picha hii inaonyesha mahali Dr. Livingstone alipopenda kukaa mida ya jioni kando kando ya ziwa chini ya mwembe ambapo kwa sasa ziwa limehama na badala yake wamejenga jiwe la msingi kama alama na matawi ya mwembe huo waliyaotesha pembeni.


HAPA NDIO PALE HENRY ALIPOKUTANA NA DR. LIVINGSTONE





Miembe iliyooteshwa kutoka kwenye mwembe aliopendelea kukaa Dr. Livingstone

Enzi hizo ziwa liligotea hapo kwenye hizi ngazi lakini kwa sasa ziwa lipo mbali sana kutokea hapa



SHUGHULI ZAUVUVI ENEO LA KATONGA - KIGOMA
Dagaa wameanikwa tayari kwa kukaushwa, na hukaushwa kwa muda wa siku mbili

Maandalizi ya nyavu za kuanikia dagaa

Kina mama nao hawako nyuma katika biashara hii, hapa wakianika dagaa wao chini kwani hawana nyavu za kuanikia juu.


Makini kupokea maelekezo kutoka kwa mwenyeji


Boti zetu ziko vizuri tayari kwa kazi jioni.........

tayari kwa kazi.....

Mafundi wakirekebisha moja ya boti zilizopata hitilafu

ukaushaji ukiendelea

Dagaa wa kigoma....

Mwisho wa siku dagaa huingizwa sokono ili kuwafikia walaji

Kina mama wakiuza dagaa wao soko la katonga

PICHA ZOTE KWA HISANI YA MAPOCHISIDE BLOG

Related

PANDU AMEIR KIFICHO AUNDA TIMU KUJADILI ONGEZEKO LA POSHO KWA WABUNGE WA BUNGE LA KATIBA

 Pandu Ameir kificho Mwenyekiti wa muda wa bunge la katiba, Pandu Ameir Kificho ameunda timu ya watu sita kujadili nyongeza ya posho kwa wabunge wa bunge la katiba. mapendekezo yote yataka...

TAARIFA YA UFAFANUZI KUHUSU BARAZA LA MAASKOFU WA KIPENTEKOSTE TANZANIA (PENTECOSTAL COUNCIL OF TANZANIA) KUTOKUWA NA UWALIKILISHI KATIKA BUNGE MAALUM LA KATIBA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS Telephone: 255-22-2114512, 2116898                       &nbs...

LORI LA MAFUTA LAPINDUKA NA KUWAKA MOTO, LAUA WANNE MLIMA SEKENKE

 Baadhi ya Wananchi waliofika katika ajali hiyo wakiangalia mabaki ya Lori hilo baada ya kupata ajali na kuwaka moto leojioni likiwa katika safari zake za kusafirisha Mafuta nje ya Dar-es-S...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

item