TASWIRA MBALIMBALI KUTOKA MJINI KIGOMA: MWISHO WA RELI, MAKUMBUSHO YA DR. LIVINGSTONE NA UTAALAMU WAO KWENYE DAGAA

Left:  Henry and Right: Dr. Livingstone Hapa ndio Mwisho wa Reli Kigoma   Jengo la Stesheni lililopo Kigoma mjini ...

Left:  Henry and Right: Dr. Livingstone



Hapa ndio Mwisho wa Reli Kigoma

Jengo la Stesheni lililopo Kigoma mjini





Stand ya daladala kigoma mjini

Boda boda na huku tupo.....

Picha ya kumbukumbu reli inapoishia

Jengo la steshen kwa nyuma

MAKUMBUSHO YA DR. LIVINGSTONE - KIGOMA UJIJI


MJI WA UJIJI




 VIINGILIO HIVI HAPA


DR. LIVINGSTON NI NANI?


PICHA MBALIMBALI NDANI YA MAKUMBUSHO





Picha hii inaonyesha mahali Dr. Livingstone alipopenda kukaa mida ya jioni kando kando ya ziwa chini ya mwembe ambapo kwa sasa ziwa limehama na badala yake wamejenga jiwe la msingi kama alama na matawi ya mwembe huo waliyaotesha pembeni.


HAPA NDIO PALE HENRY ALIPOKUTANA NA DR. LIVINGSTONE





Miembe iliyooteshwa kutoka kwenye mwembe aliopendelea kukaa Dr. Livingstone

Enzi hizo ziwa liligotea hapo kwenye hizi ngazi lakini kwa sasa ziwa lipo mbali sana kutokea hapa



SHUGHULI ZAUVUVI ENEO LA KATONGA - KIGOMA
Dagaa wameanikwa tayari kwa kukaushwa, na hukaushwa kwa muda wa siku mbili

Maandalizi ya nyavu za kuanikia dagaa

Kina mama nao hawako nyuma katika biashara hii, hapa wakianika dagaa wao chini kwani hawana nyavu za kuanikia juu.


Makini kupokea maelekezo kutoka kwa mwenyeji


Boti zetu ziko vizuri tayari kwa kazi jioni.........

tayari kwa kazi.....

Mafundi wakirekebisha moja ya boti zilizopata hitilafu

ukaushaji ukiendelea

Dagaa wa kigoma....

Mwisho wa siku dagaa huingizwa sokono ili kuwafikia walaji

Kina mama wakiuza dagaa wao soko la katonga

PICHA ZOTE KWA HISANI YA MAPOCHISIDE BLOG

Related

MSEMAJI MKUU WA WIZARA YA HABARI, UTAMADUNI VIJANA NA MICHEZO WA KAMBI YA UPINZANI MHESHIMIWA JOSEPH O. MBILINYI (MB) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA YA HABARI, VIJANA, UTAMADUNI NA MICHEZO KWA MWAKA WA FEDHA 2013/2014

(Inatolewa chini ya Kanuni ya 99(9) ya kanuni za Bunge toleo la mwaka 2013) 1. UTANGULIZIMheshimiwa Spika, Dira ya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo ni “kuwa na taifa lililohaba...

KIKAO CHA MWENYEKITI WA CCM, RAIS KIKWETE NA WABUNGE WA CCM MKOANI DODOMA JANA 19/05/2013 KATIKA PICHA

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili ukumbini wakati wa kikao chake na wabunge wa CCM, leo Mei 19, 2013, katika ukumbi wa jengo la White House, Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma. Wengine ...

CUF YAKANA KUHUSIKA NA VURUGU ZA MTWARA

 DAR ES SALAAM. CHAMA cha Wananchi (CUF), kimekana kuhusika na vurugu zinazotokea katika Mikoa ya Lindi na Mtwara na kwamba zinatokana na sera mbaya za Serikali za Chama Cha Mapinduzi (CCM...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item