WAZIRI MKUU WA LIBYA AACHIWA HURU BAADA YA KUTEKWA LEO ALFAJIRI

Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan akiwa amezungukwa na watu eneo lisilojulikana Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan ameripoti kuachiwa huru...

Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan akiwa amezungukwa na watu eneo lisilojulikana
Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan ameripoti kuachiwa huru baada ya kutekwa leo alfajiri. Tukio hilo lilitokea majira ya saa 10 alfajiri hotelini Tripoli anapoishi. Hii imetokea baada ya waziri mkuu huyo kuomba nchi za magharibi zimsaidie kudhibiti waasi.
 

Related

WAZIRI MKUU MSTAAFU WARIOBA NAYE AWAJIBU KINANA NA SHIVJI KUHUSU ALICHOKIFANYA NA RASIMU

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba akisisitiza jambo alipokuwa akizungumza na waandishi wa gazeti hili, nyumbani kwake jijini Dar es Salaam jana. Picha na Edwin Mj...

RIDHIWANI AENDELEZA KAMPENI ZAKE CHALINZE, TAZAMA PICHA

 Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM kwenye Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze,Ridhiwani Jakaya Kikwete akimsikiliza kwa Makini Mzee Hussein Mwindadi ambaye ni Baba wa Diwani wa Kata ya Mkan...

MBUNGE ROSE KAMILI: MWENYEKITI WA CCM ALIHUSIKA KUNITEKA

  Mbunge wa Viti Maalum (Chadema), Rose Kamili, aliyedai ametekwa na kuteswa wakati wa uchaguzi mdogo mkoani Iringa, amemtuhumu Mwenyekiti wa CCM mkoani humo, Jessica Msambatavangu kuwa ana...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item