WAZIRI MKUU WA LIBYA AACHIWA HURU BAADA YA KUTEKWA LEO ALFAJIRI

Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan akiwa amezungukwa na watu eneo lisilojulikana Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan ameripoti kuachiwa huru...

Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan akiwa amezungukwa na watu eneo lisilojulikana
Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan ameripoti kuachiwa huru baada ya kutekwa leo alfajiri. Tukio hilo lilitokea majira ya saa 10 alfajiri hotelini Tripoli anapoishi. Hii imetokea baada ya waziri mkuu huyo kuomba nchi za magharibi zimsaidie kudhibiti waasi.
 

Related

PICHA MBALIMBALI KUTOKA MKUTANO MKUU WA TFF LEO

RAIS WA TFF LEODIGER TENGA AKIHUTUBIA MKUTANO MJUMBE WA FIFA JAMES JOHNSON AKIONGEA WAJUMBE WA MKUTANO WA TFF AFISA WA FIFA JAMES JOHNSON AKIWA NA KATIBU MKUU WA TFF ANGETILE ...

OFISI MPYA ZA BODI YA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU

HESLB new offices, Mwenge, Dar es Salaam. Taarifa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji. Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawajulisha wadau wake wote kuwa Ofisi yake ya Makao Makuu imehama k...

SERIKALI YATANGAZA KIMA CHA CHINI MISHAHARA YA KISEKTA

Dar es Salaam. Serikali imetangaza viwango vipya vya chini vya mishahara kisekta ambavyo vinatofautiana kati ya sekta moja na nyingine ambavyo ni kuanzia Sh40,000 hadi Sh400,000 kwa mwezi kuan...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904763
item