WAZIRI MKUU WA LIBYA AACHIWA HURU BAADA YA KUTEKWA LEO ALFAJIRI

Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan akiwa amezungukwa na watu eneo lisilojulikana Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan ameripoti kuachiwa huru...

Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan akiwa amezungukwa na watu eneo lisilojulikana
Waziri mkuu wa Libya, Ali Zeidan ameripoti kuachiwa huru baada ya kutekwa leo alfajiri. Tukio hilo lilitokea majira ya saa 10 alfajiri hotelini Tripoli anapoishi. Hii imetokea baada ya waziri mkuu huyo kuomba nchi za magharibi zimsaidie kudhibiti waasi.
 

Related

NYALANDU ATANGAZA RASMI KUWANIA URAIS 2015

  Waziri wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazalo Nyalandu alisalimia wananachi baada ya kuwasili na mkewe Faraja Kota kwenye Mkutano wa jimbo uliofanyika kwenye Uwanja ...

MAALIM SEIF ATEMBELEA ENEO LA JENGO LILILOANGUKA JANA MJI MKONGWE ZANZIBAR

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akimsikiliza Kamanda Ame Ali ambaye ni kiongozi wa shughuli za usafishaji wa eneo lilipoanguka jengo la ghorofa huko Shang...

TAMISEMI YATANGAZA TAREHE YA KUJIANDIKISHA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA

Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa Bwn. Khalist Luanda akizungumuza na waandishi habari juu ya kukamilika kwa maandalizi ua uchaguzi wa Serikali za Mitaa miji Dodoma leo. Bwn. Khalist Luanda ...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item