KINANA ALIPOWASILI MTWARA LEO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasilimia baadhi ya viongozi wa CCM, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege mjini Mtwara asub...

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasilimia baadhi ya viongozi wa CCM, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege mjini Mtwara asubuhi hii

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, wakisalimiana na viongozi wa CCM baada ya kuwasili na Kinana mjini Mtwara asubuhi hii.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Kanali Joseph Simbakalia, Uwanja wa Ndege wa Mtwara

Kinana akiwa na viongozi wa mkoa wa Mtwara

Katibu mkuu wa CCm amewasili mkoani Mtwara asubuhi hii tayari kwa safari ya kwenda katika mikoa ya Ruvuma na Mbeya kuanza ziara yake ya siku 22 katika mikoa hiyo kesho. Kabla ya kuwasili katika mikoa hiyo, akiwa mkoani Mtwara leo atakutana na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Masasi.

Related

TUKIO LA MLIPUKO WA BOMU HUKO ARUSHA KATIKA PICHA

 Eneo mlipuko ulipotokea  Wananchi katika eneo la tukio Eneo lenye utepe ndipo kitu hicho kinachodhaniwa kuwa bomu kilipoangukia. Pichani unaweza kuona wigi za kichwani na viatu vya waumini ...

HOTUBA YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIBA NA SHERIA ILIYOSOMWA NA MH. TUNDU LISSU

MAONI YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, WIZARA YA KATIBA NA SHERIA, MHESHIMIWA TUNDU A.M. LISSU (MB.)KUHUSUMPANGO NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA YA WIZARA YA KATIBA NA S...

BALE WA TOTTENHAM HOTSPUR ASHINDA TUZO NYINGINE

GARETH BALE Mshambuliaji matata wa Tottenham Hotspur Gareth Bale ametajwa kuwa mchezaji bora wa mwaka na chama cha waandishi wa habari za michezo nchini England. Mchezaji huyo mwenye umri w...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item