KINANA ALIPOWASILI MTWARA LEO

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasilimia baadhi ya viongozi wa CCM, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege mjini Mtwara asub...

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasilimia baadhi ya viongozi wa CCM, baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege mjini Mtwara asubuhi hii

Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Katibu wa NEC, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, wakisalimiana na viongozi wa CCM baada ya kuwasili na Kinana mjini Mtwara asubuhi hii.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Mkuu wa mkoa wa Mtwara, Kanali Joseph Simbakalia, Uwanja wa Ndege wa Mtwara

Kinana akiwa na viongozi wa mkoa wa Mtwara

Katibu mkuu wa CCm amewasili mkoani Mtwara asubuhi hii tayari kwa safari ya kwenda katika mikoa ya Ruvuma na Mbeya kuanza ziara yake ya siku 22 katika mikoa hiyo kesho. Kabla ya kuwasili katika mikoa hiyo, akiwa mkoani Mtwara leo atakutana na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Masasi.

Related

KAMATI KUU CCM YAWAHOJI WATATU JANA

 Waziri Mkuu wa Zamani Ndugu Fredrick Sumaye akiwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi Dodoma tayari kwa kuhojiwa na Kamati Ndogo ya Maadili.  Waziri Mkuu Mstaafu Ndugu E...

MGOMO WA MASHINE ZA EFD WASITISHWA

Wafanyabiashara katika mikoa mbalimbali leo wamefungua maduka yao ikiwemo kariakoo, Tanga na Kahama. Hii imekuja baada ya kufanyika kikao baina ya wafanyabiashara na Waziri Mkuu jana. Matokeo ya ki...

OKWI RUKSA KUICHEZEA YANGA

Shirikisho la soka la kimataifa (FIFA) limemuidhinishia Emmanuel Okwi kuichezea timu ya Yanga, TFF imethibitisha swala hilo. Source: Mwananchi


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item