WAHITIMU WA VYUO VYA ELIMU YA JUU WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI MWAKA 2013/2014 BAADA YA USAILI KUKAMILIKA

1.Wahitimu wataondoka tarehe 19/11/2013 kwenda Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, mabasi yataondoka Polisi Ufundi Dsm saa 06.00 asubuh...



1.Wahitimu wataondoka tarehe 19/11/2013 kwenda Chuo cha Taaluma ya Polisi Moshi, mabasi yataondoka Polisi Ufundi Dsm saa 06.00 asubuhi. Mwisho wa kuriporti Chuoni ni tarehe 23/11/2013. Atakayeripoti kuanzia tarehe 24.11.2013 atahesabika amechelewa hatapokelewa chuoni hapo.

 2.Vijana hawa watalazimika kufika chuoni wakiwa na mahitaji yafuatayo:
a) Vyeti vyao vyote vya masomo( original Academic Certificates/Result slip pamoja na Leaving certificates) kidato cha Nne/Sita, Vyeti vya kuzaliwa (Original Birth certificates). Hati ya kiapo cha kuzaliwa haitakubalika.

b) Mashuka mawili rangi ya Bluu Bahari (light blue)

c) Chandarua chenye upana futi tatu

d) Nguo za michezo(Track suit nyeusi,Tshirt blue na Raba)

e) Pasi ya Mkaa

f) Ndoo moja

g) Pesa za kulipia bima ya afya kiasi cha shilingi elfu hamsini na mia nne tu (50,400/=). Aliyemwachama wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya hatalazimika kulipia kiasi hiki cha fedha.

h) Pesa kidogo ya kujikimu.

3. Kwa mujibu wa kanuni za chuo ni marufuku kufika chuoni na simu ya mkononi au kifaa chochote cha mawasiliano. Atakayepatikana na simu atafukuzwa chuoni hapo. Chuo kitaelekeza na kusaidia kufanya mawasiliano.

4.Kuona orodha bofya hapa ;

Related

OTHER NEWS 2452189543681940044

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

RECENT

Archive

item