ANC WATOA HESHIMA ZAO ZA MWISHO KWA ALIYEWAHI KUWA KIONGOZI WAO MAREHEMU NELSON MANDELA LEO

Nelson Mandela - Madiba Mandla Mandela akiaga mwili wa marehemu babu yake  Nelson Mandela 14 December, 2013 huko Pritoria mjane w...

Nelson Mandela - Madiba
Mandla Mandela akiaga mwili wa marehemu babu yake  Nelson Mandela 14 December, 2013 huko Pritoria
mjane wa marehemu Graca Machel
Wajumbe wa ANC

Grace Machel, Rais Jacob Zuma na Winnie Madikizela  - Mandela wakifatilia tukio hilo

Makamu wa rais Kgalema Montlanthe alikuwepo

Rais wa zamani wa SA Thabo Mbeki na Jesse Jackoson wakifatilia


Ndehe iliyobebe jeneza la Mandela kuelekea kijijini kwao Qunu

Leo wanachama wa cha siasa cha ANC ambacho rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini  marehemu Nelson Mandela alikuwa mwanachama, walipata nafasi ya kuaga mwili wa marehemu shughuli iliyofanyika huko Pretori[a leo. Jeneza lililobeba mwili wa Mandela lilifunikwa bendela ya chama cha ANC, na watu wapatao 2,000 wamehudhuria tukio hilo.

Rais Jacob Zuma ameambatana na wanajeshi wapatao 11,000 kumsaidia kuusindikiza mwili wa Mandela kuelekea Mthatha na kisha kijijini kwao Qunu eneo lililopo umbali wa Km 36 kutoka Mthatha.

Msemaji wa familia ya Mandela bwana Temba Matanzima amesema wanafamilia watajumuika kumsindikiza Mandela katika safari yake.

Serikali ya Afrika Kusini imetoa ratiba kamili ya mazishi yatakayo fanyika kesho tarehe 15/12/2013

Related

OTHER NEWS 6957514238237699344

Post a Comment

emo-but-icon

FOLLOW US

.

LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

RECENT

Archive

item