BOTI YA KILIMANJARO MALI YA AZAM MARINE YAPATA AJALI IKITOKEA PEMBA, MAITI 5 ZAPATIKANA

Boti ya Kampuni ya Azam Marine ya Kilimanjaro  ikitokea Pemba asubuhi ya leo ikiwa na abiria karibu 320 imepata misukosuko ya hali ya...



Boti ya Kampuni ya Azam Marine ya Kilimanjaro  ikitokea Pemba asubuhi ya leo ikiwa na abiria karibu 320 imepata misukosuko ya hali ya upepo na mawimbi na kusababisha baadhi ya abiria waliokuwa wamekaa sehemu ya abiria ya mbele ya boti hiyo na kutumbukia baharini, kutoka na upepo huo.
Ajali hiyo imetokea katika mkondo wa nungwi na baadhi ya abiria wa boti hiyo kuingia baharini kutokana na mawimbi na upepouliokuwa ukivuma katika majira ya asubuhi ya leo na hali ya bahari kuchafuka.
Ikiwa katika safari zake za kawaidi ikitokea Pemba na kuelekea Unguja ilipata dosari kutokana na upepo na mawimbi katika maeneo ya Nungwi.
Juhudi za Wananchi na Vyombo husika kuchukua juhudi za uokoaji wa abiria hao na kufanikiwa kuwapata Wananchi watatu wakiwa hai na miili ya watu 5 kupatikana mpaka sasa.
.
Mpaka sasa kwa taarifa iliopatika jumla ya abiria 4 wameokolewa na kupatikana maiti 5,na zoezi la uokowaji linaendele kufanyika katika eneo la tukio  la bahari ya Nungwi. 

Maiti zilizopatika katika zoezi hili ni 5, na mbili ni za Wanawake na tatu za Wanaume, na zoezi hilo limesitishwa hadi kesho.asubuhi.
Leo katika majira ya asubuhi hali ya bahari ilikuwa na mawimbi na upepo mkali

Related

MAITI YAKUTWA NA DAWA ZA KULEVYA MOROGORO

MWILI wa marehemu, Khalid Abdul Kitala (47) ambaye ni mfanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam ukiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali kuu ya mkoa wa Morogoro muda mfupi ka...

Worshipers Targeted at Christmas Services in Baghdad

BAGHDAD — At least 26 people were killed and 38 others wounded on Wednesday when a car bomb exploded in a parking lot near St. John’s Roman Catholic Church in a southern neighborhood of Baghda...

KRISMASI 2013: PAPA FRANCIS ATETEA WANYONGE WA VITA

Katika hotuba yake ya mwanzo ya Krismasi, Papa Francis amezungumza mjini Rome juu ya maeneo ya vita duniani. Alitoa wito kwa pande zote zilizohusika na vita vya Syria ziruhusu msaada kufika kwa...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item