DKT. KITILA NA MWIGAMBA WAVULIWA UANACHAMA NDANI YA CHAMA CHA CHADEMA

DKT. KITILA MKUMBO SAMSON MWIGAMBA KAMATI Kuu ya Chadema iliyokutana Januari 3 - 4, 2014 katika Ukumbi wa Mbezi Garden, jiji...

DKT. KITILA MKUMBO


SAMSON MWIGAMBA

KAMATI Kuu ya Chadema iliyokutana Januari 3 - 4, 2014 katika Ukumbi wa Mbezi Garden, jijini Dar es Salaam imeamua kuwavua uanachama Dkt. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba kuanzia jana. Maamuzi hayo ni baada ya kunasa mawasiliano mbalimbali ya Zitto Kabwe na washirika wake akiwemo anayejulikana kwa jina la Chadema Mpya.

Akizungumza na wanahabari leo, Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willbroad Slaa amesema malengo ya waraka wa mabadiliko waliokutwa nao wahusika hayakuwa ya kisiasa tu bali yalikuwa na lengo la kuimaliza chadema na kuwabomoa viongozi wa chama.

Ameongeza kuwa, chama kinawatangazia wanachama wote na wapenzi wote kutokushiriki mikutano ama shughuli zozote za kisiasa zitakazoandaliwa na Zitto Kabwe na washirika wake kwa jina la Chadema.

Related

KUTEKWA NA KUTESWA MWENYEKITI WA TEMEKE, MPANGO MZIMA WA KUIHUSISHA CHADEMA HUU HAPA

Jana majira ya saa 3.30 asubuhi, watu wapatao watano ambao ni wanachama wa CHADEMA mamluki wa Timu ya Zitto na CCM, wakiwa eneo moja la ofisi ya umma wakisubiri huduma ya muhimu sana, walipokea...

TAMKO LA CHADEMA KUFUATIA TUKIO LA KUTEKWA, KUTESWA NA KUUMIZWA KWA MWENYEKITI WA CHADEMA WILAYA YA TEMEKE

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepokea kwa mshtuko taarifa za tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Temeke, Jos...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item