RAIS WA MPITO WA JAMHURI YA KATI AJIUZURU

MICHEL DJOTODIA Rais wa mpito wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia, amejiuzulu kufuatia shinikizo kali na kukosolew...

MICHEL DJOTODIA


Rais wa mpito wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia, amejiuzulu kufuatia shinikizo kali na kukosolewa kwa mwendo wake wa kujikokota katika kusuluhisha mgogoro wa kidini unaotokota nchini humo.

Mapigano ya kidini yaliyofanyika nchini humo karibu wiki mbili na kusababisha mauaji ya watu 1000 na kuacha watu wapatao milioni 1 bila makazi nayo yamekuwa sababu ya rais huyo kujiuzuru.

Hadi sasa hakuna aliyejitokeza kushika nafasi hiyo aliyoiacha Djotodia, lakini bunge la nchi hiyo litakutana jumatatu ili kumteua mrithi wake.

Related

DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE APOKEA RASIMU YA MWISHO YA KATIBA INAYOPENDE​KEZWA UWANJA WA JAMHURI DODOMA

  Mwenyekiti wa Bunge maalum la katiba Mhe.Samuel Sitta akikabidhi rasimu ya katiba inayopendekezwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serik...

TAARIFA FUPI YA MAFANIKIO YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA SERIKALI MKOANI SINGIDA KIPINDI CHA 2005 - 2014

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dokta Parseko Vicent Kone. Katibu Tawala Mkoa wa Singida Bw. Liana Hassan. Jengo la OPD katika Hospitali Mpya ya rufaa ya Mkoa wa Singida. Jengo la utambuzi wa ...

SULUHU KWA WAGONJWA WA FIGO NA MFUMO WA MKOJO YAPATIKANA

Watanzania  kunufaika na kile ambacho wachambuzi huona kama nafasi adimu katika sekta ya afya. Hii ni kwasababu nchi inatarajia kupokea wataalamu wawili kutoka taasisi mashuhuri ya matibabu d...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item