RAIS WA MPITO WA JAMHURI YA KATI AJIUZURU

MICHEL DJOTODIA Rais wa mpito wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia, amejiuzulu kufuatia shinikizo kali na kukosolew...

MICHEL DJOTODIA


Rais wa mpito wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia, amejiuzulu kufuatia shinikizo kali na kukosolewa kwa mwendo wake wa kujikokota katika kusuluhisha mgogoro wa kidini unaotokota nchini humo.

Mapigano ya kidini yaliyofanyika nchini humo karibu wiki mbili na kusababisha mauaji ya watu 1000 na kuacha watu wapatao milioni 1 bila makazi nayo yamekuwa sababu ya rais huyo kujiuzuru.

Hadi sasa hakuna aliyejitokeza kushika nafasi hiyo aliyoiacha Djotodia, lakini bunge la nchi hiyo litakutana jumatatu ili kumteua mrithi wake.

Related

OBAMA ATOA SABABU ZILIZOMFANYA ASIENDE KENYA KWA SASA... SABABU KUBWA NI KESI YA UHURU KENYATTA NA MAKAMU WAKE

US President Barack Obama said Saturday the “timing was not right” for him to travel to Kenya, his father’s homeland, during his current Africa tour, but he expected to go there many times in the f...

AFRICAN DEVELOPMENT BANK PRESIDENT FLIES TO TANZANIA FOR OBAMA'S VISIT

AFDB PRESDENT, DONALD KABERUKA The African Development Bank (AfDB) has said its President, Donald Kaberuka, will travel to Tanzania at the weekend where he is expected to meet with the visiting US P...

TUMFAHAMU MGENI WETU RAIS WA MAREKANI BARACK HUSSEIN OBAMA JAPO KWA UFUPI

Raisi Barack Hussein Obana ni raisi wa 44 kutawala nchi ya Marekani na ni raisi wa kwanza mwenye mchanganyiko wa kiafrika na kimarekani kutawala nchi hiyo.Alizaliwa huko Honolulu, Hawaii tarehe 4/08/1...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item