RAIS WA MPITO WA JAMHURI YA KATI AJIUZURU

MICHEL DJOTODIA Rais wa mpito wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia, amejiuzulu kufuatia shinikizo kali na kukosolew...

MICHEL DJOTODIA


Rais wa mpito wa Jamuhuri ya Afrika ya Kati, Michel Djotodia, amejiuzulu kufuatia shinikizo kali na kukosolewa kwa mwendo wake wa kujikokota katika kusuluhisha mgogoro wa kidini unaotokota nchini humo.

Mapigano ya kidini yaliyofanyika nchini humo karibu wiki mbili na kusababisha mauaji ya watu 1000 na kuacha watu wapatao milioni 1 bila makazi nayo yamekuwa sababu ya rais huyo kujiuzuru.

Hadi sasa hakuna aliyejitokeza kushika nafasi hiyo aliyoiacha Djotodia, lakini bunge la nchi hiyo litakutana jumatatu ili kumteua mrithi wake.

Related

CCM, CHADEMA NUSU WAZIPIGE KAVUKAVU KWENYE MKUTANO DAR ES SALAAM

  Mbunge wa Jimbo la Kinondoni, Idd Azzan wa CCM (KULIA), akiamulia ugomvi wa Diwani wa Kimara, Pascal Manota wa Chadema (kushoto) na Mwenyekiti wa CCM, Wilaya ya Kinondoni, Salum Madenge w...

AJALI YA PIKIPIKI NA MAGARI YAUA WATU WATATU

 Mifuko maalumu ya kuzuia abiria asiumie wakati wa ajali ikiwa imefumuka baada ya ajali .    Gari aina ya Range Rover lenye likiwa limeharibika vibaya ba...

NAIBU WAZIRI WA MAJI ATEMBELEA MIRADI YA MAJI MIKOA YA PWANI NA DAR ES SALAAM

 Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akiambatana na wakandarasi wa kampuni ya WABAG pamoja na Meneja Mradi DAWASA, Inj. Romanus Mwang’ingo (mwisho kulia) wakikagua mradi wa maji wa Ruvu ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904765
item