DKT. SHEIN AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA INDIA MOHAMMED HAMID ANSARI

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed  Shein akifuatana na Balozi wa Tanzania Nchini India John W.H.K...

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed  Shein akifuatana na Balozi wa Tanzania Nchini India John W.H.Kijazi walipofika katika Makumbusho ya Mahatma Ghandhi Mjini New Delhi India na kuweka shada la mauwa katika makumbusho hayo,akifuatana na ujumbe wake katika ziara ya siku tatu nchini humo
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed  Shein akifuatana na Ujumbe wake wakielekea katika sehemu maalum iliyotengwa kwa shuhuli ya uwekaji wa mauwa kwa wageni mbali mbali wanaofika sehemu hiyo ya Makumbusho ya Mahatma Ghandhi Mjini New Delhi India
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed  Shein na Mkwe Mama Mwanamwema Shein wakiweka shada la mauwa  katika   Makumbusho ya Mahatma Ghandhi Mjini New Delhi, ambayo ni sehemu maalum iliyotayarishwa kwa  wageni mbali mbali wanaofika katika Makumbusho hayo,Rais akiwa katika siku ya tatu ya ziara yake Nchini India

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed  Shein akiweka saini kitabu cha kumbukumbu ya wageni katika makumbusho ya Mahatma Gandhi katika Mji wa New Delhi India   baada ya  kuweka shada la mauwa (katikati)Mkewe Mama Mwanamwema Shein pamoja Balozi wa Tanzania Nchini India John W.H.Kijazi (kushoto)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed  Shein akizungumza na mwenyeji wake  Makamo wa Rais wa India Mohammed Hamid Ansari, mara alipowasili  Ofisini kwake Mjini New Delhi,akiwa na ujumbe aliofuatana nao wakiwemo Mwaziri mbali mbali na makatibu. 
 
Picha na Ramadhan Othman, India.

Related

MWANAMKE ALIYEHUKUMIWA KIFO NCHINI SUDAN KWA KUASI DINI AACHIWA HURU

 Meriam alihukumiwa akiwa mjamzito na kujifungulia gerezani Mwanamke aliyehukumiwa kifo nchini Sudan kwa kuasi dini ameachiliwa huru. Wakili wake Elshareef Ali, ameambia BBC kuwa mwana...

TAARIFA YA WAJUMBE WA BARAZA KUU, MKUTANO MKUU NA VIONGOZI WA BAWACHA NA BAVICHA WA MIKOA MBALIMBALI CHADEMA

Wajumbe wa Baraza kuu la Chadema June 23 2014 walikua na mkutano mkuu wa chama hicho kwa umma ambao ulihusisha waandishi mbalimbali wa habari wakiwa zaidi ya 80   Ndugu Wanahab...

AJALI YAUA ENEO LA MAKONGO SEKONDARI DAR LEO

 Daladala hiyo inavyoonekana mara baada ya ajali  Baadhi ya miili ya marehemu. Baadhi ya miili ikiwa kwenye gari Hospitali ya Lugalo. Ndugu wakilia kwa uchungu baad...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item