LIBYA WATWAA KOMBE LA CHAN

Fainali za CHAN zimemalizika usiku wa kuamkia leo huku timu ya Libya ikiondoka na ushindi zidi ya timu kutoka Ghana. Mechi hiyo iliyoma...

Fainali za CHAN zimemalizika usiku wa kuamkia leo huku timu ya Libya ikiondoka na ushindi zidi ya timu kutoka Ghana.

Mechi hiyo iliyomalizika katika dakika 90 za mchezo bila timu yoyote kuona lango la mwenzake kupelekea kuongezwa dakika 30 ambazo nazo ziliisha bila timu yoyote kuonyesha ubabe.

Libya ilipata ubingwa kwa kuifunga Ghana kwa penalti 4 - 3, mabingwa hao wapya 2014 wameondoka na kitita cha dola za kimarekani 750,000.

Wakati huohuo Nigeria iliweza kuifunga Zimbabwe bao 1 - 0 katika mchezo wa kusaka mshindi wa 3 wa michuano ya Afrika kwa wachezaji wa ndani.

Related

GHASIA MBEYA, BARABARA YA MWANJELWA YAFUNGWA

Polisi wakiwa katika ulinzi   Maduka funga kule.... Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia baada ya mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia ...

MAREKANI YAFUKUZA MAAFISA UBALOZI 3 WA VENEZUELA

Marekani imewatimua maafisa  ubalozi 3 wa venezuela leo ikilipiza kisasi baada ya Caracas kufukuza mabalozi wake jana,  Wamepewa masaa 48 kuondoka nchini Marekani.

MIJI YA LINDI NA MTWARA KUSHIRIKIANA NA NORWAY

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (mwenye koti refu) akijadiliana jambo na Meya wa mji wa Sandnessjoen, Bard Anders (kulia kwa Waziri) na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Ingu...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904746
item