MGOMO WA MASHINE ZA EFD WASITISHWA

Wafanyabiashara katika mikoa mbalimbali leo wamefungua maduka yao ikiwemo kariakoo, Tanga na Kahama. Hii imekuja baada ya kufanyika kikao...

Wafanyabiashara katika mikoa mbalimbali leo wamefungua maduka yao ikiwemo kariakoo, Tanga na Kahama. Hii imekuja baada ya kufanyika kikao baina ya wafanyabiashara na Waziri Mkuu jana. Matokeo ya kikao hicho ni uamuzi wa kuundwa kamati itakayo tatua kero hizo. Notisi iliyokuwa imetolewa kwa wafanyabiashara kumiliki mashine hizo za EFD ndani ya wiki mbili imetenguliwa.

Related

PICHA: UZINDUZI WA ALBUM YA SHIKILIA PINDO LA YESU YA ROSE MUHANDO ULIOFANYIKA JIJINI MWANZA

Mwimbaji wa muziki wa injili Rose Muhando akiimba pamoja na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama kulia na mwimbaji wa muziki wa injili Bonny Mwaiteje katikati na Mwimbaji...

MAKAMU WA RAIS DK. BILAL AFUNGUA KONGAMANO LA KIMATAIFA KUHUSU MITAALA KWA VYUO VYA KIISLAM, MOROGORO

  Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Katibu Mkuu wa CCM Abrahman Kinana wakati akiwasili katika ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa...

DAKTARI FEKI AMEKAMATWA MANYARA AKIDAI NI DAKTARI WA MAGONJWA YA MOYO

  Jopo la madaktari katika hospitali ya rufaa ya mkoani Manyara kwa kushirikiana na polisi wamefanikiwa kumnasa mkazi wa jijini Dar-es-salaam Bw Godlove Sozigwa akituhumiwa kuomba kufanya...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904759
item