MGOMO WA MASHINE ZA EFD WASITISHWA

Wafanyabiashara katika mikoa mbalimbali leo wamefungua maduka yao ikiwemo kariakoo, Tanga na Kahama. Hii imekuja baada ya kufanyika kikao...

Wafanyabiashara katika mikoa mbalimbali leo wamefungua maduka yao ikiwemo kariakoo, Tanga na Kahama. Hii imekuja baada ya kufanyika kikao baina ya wafanyabiashara na Waziri Mkuu jana. Matokeo ya kikao hicho ni uamuzi wa kuundwa kamati itakayo tatua kero hizo. Notisi iliyokuwa imetolewa kwa wafanyabiashara kumiliki mashine hizo za EFD ndani ya wiki mbili imetenguliwa.

Related

SEHEMU YA MAJENO YA CHUO CHA POLISI MOSHI CCP YAUNGUA MOTO, TAZAMA PICHA

 Wanafunzi wa chuo cha taaluma ya polisi Moshi wakijaribu kuzima moto na kuokoa mali zilizokuwa zikiungua katika moja ya stoo ya kuhifadhia vitu mbalimbali zikiwemo nguo baada ya kuzuka kw...


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904774
item