PANDU AMEIR KIFICHO AUNDA TIMU KUJADILI ONGEZEKO LA POSHO KWA WABUNGE WA BUNGE LA KATIBA

 Pandu Ameir kificho Mwenyekiti wa muda wa bunge la katiba, Pandu Ameir Kificho ameunda timu ya watu sita kujadili nyongeza ya posho...

 Pandu Ameir kificho

Mwenyekiti wa muda wa bunge la katiba, Pandu Ameir Kificho ameunda timu ya watu sita kujadili nyongeza ya posho kwa wabunge wa bunge la katiba. mapendekezo yote yatakawasilishwa serikalini ili kutolewa maamuzi.

Wakati huo huo Katibu Mkuu wa  CHADEMA, Dkt. Slaa amesema kuwa posho ya sh 300,000/= kwa wajumbe wa katiba zinatosha na kuwataka wabunge wa Chadema kujikita kwenye kujadili katiba.

Related

HALI ILIVYOKUWA KWENYE MAANDAMANO YA CHADEMA JIJINI MWANZA

MAANDAMANO ya amani yaliyokuwa yameandaliwa na chama cha demokrasia na maendeleo(chadema) yamegeuka shubiri kwa wakazi wa jiji la Mwanza baada ya kuibuka mapamba...

WALIOPANDA MBEGU DECI SASA KURUDISHIWA

Viongozi wa DECI Arbogast Kipilimba, Jackson Mtares, Samwel Mtares, Dominick Kigedi na Timotheo Saiguran ole Loiting’ye, wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, wakikabiliwa na mashta...

WABUNGE WATAKA UWAZI MALI ZA VIONGOZI

KAMATI za Bunge zinazosimamia fedha za umma zimeazimia kuwa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma haiweki uwazi wa kutangaza umiliki wa mali za viongozi. Hali hiyo inasababisha viongozi kutowek...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904808
item