HIKI NDICHO ALICHOKIANDIKA MMBUNGE WA NZEGA , HAMISI KIGWANGALLA BAADA YA KUKOSWAKOSWA NA RISASI ZA POLISI

kupitia ukurasa wake wa Facebook Hamisi kaandika "Nimenusurika kuuawa muda si mrefu. Mungu mkubwa. Askari kwenye gari ananiambia ...

kupitia ukurasa wake wa Facebook Hamisi kaandika "Nimenusurika kuuawa muda si mrefu. Mungu mkubwa. Askari kwenye gari ananiambia na bahati yako nimekukosa, nililenga kichwa....kijana mmoja alikaa mbele yangu amepigwa risasi kwenye paji la uso, sijui kama amenusurika! Vijana wamenilinda kwa ujasiri bila hofu. Leo askari wamenikamata kwa staha. Siwezi kukubali kamwe dhulma ya mabepari dhidi ya wanyonge! Niliwaahidi na niliapa kuwatetea..."

Related

CHEKA UNENEPE: TEACHER WANJIRU- MWALIMU WA KISWAHILI

HUYU DADANI MCHEKESHAJI KUTOKA NCHINI KENYA, CHECK VIDEO YAKE HAPO CHINI

CHADEMA YADAI KUNASA SIRI ZA CHAMA TAWALA

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimefanikiwa kunasa siri za mipango ya hujuma zilizokuwa zimeandaliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata nne...

MSANII WA FILAMU ZA KISWAHILI TANZANIA LULU MICHAEL AKABIDHIWA TUZO YAKE YA ZIFF

LULU AKIPOKEA TUZO YA ZIFF YA MSANII BORA WA KIKE KATIKA FILAMU ZA KISWAHILI AKIONYESHA TUZO NA CHETI, KAZI NZURI BINTI KEEP IT UP!

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904766
item