TASWIRA MBALIMBALI KWENYE IBADA YA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPA.

  MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN GABRIEL TUPA UKITOLEWA  NDANI YA MAKAZI YAKE   WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI K...

  MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN GABRIEL TUPA UKITOLEWA  NDANI YA MAKAZI YAKE


  WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA


 KUTOKA KUSHOTO KAIMU KAMANDA WA POLISI MKOA WA MARA POUL KASABAGO,M NEC WA CCM CHRISTOPHER GACHUMA,M NEC WA BUNDA CCM...

  MWENYEKITI WA BAKWATA MUSOMA MJINI AKIWA NA ASKOFU MSONGANZILA WA KANISA KATORIKI
  RAIS WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KENETH SIMBEYA AKITOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
  MTOTO WA MAREHEMU  GABRIEL JOHN TUPA AKITOA SHUKURANI
  MJANE WA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALIKUWA MMOJA WA WAOMBOLEZAJI
  ASKOFU MSONGANZILA AKIWEKA SAHIHI KWENYE KITABU CHA WAOMBOLEZAJI


  SEHEMU YA WAOMBOLEZAJI WAKIENDA KUAGA MWILI

  MKURUGENZI WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA ABUBAKAR KARSAN MWENYE MIWANI HUKU NYUMA YAKE NI MADARAKA NYERERE NAO WAKIAGA MWILI


  WANAFUNZI WA SHULE PIA WALIHUDHULIA

 ASKARI KARIM AKIWA KWENYE GARI LILILOBEBA MWILI WA MAREHEMU
 MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA LIKIWA KWENYE GARI MAALUMU UKITOKA KWENYE MAKAZI YAKE KWENDA KANISANI
  MWILI UMEPOKELEWA LANGO KUU LA KANISA KATORIKI
 MKE WA JOHN TUPA WA PILI KUTOKA KUSHOTO AKIWA NA WANAFAMILIA KANISANI

Related

MAANDALIZI YA SHEREHE ZA MIAKA 37 YA CCM YAPAMBA MOTO MKOANI MBEYA

 Katibu wa CCM Mkoa wa Mbeya Luteni Mstaafu Maganga Sengelema akifafanua jambo mbele ya Katibu wa Itikadi na Uenezi Nape Nnauye kwenye uwanja wa Sokoine mjini Mbeya ikiwa sehemu ya maandal...

TUNISIA YAPATA KATIBA MPYA

Bunge la Tunisia limeidhinisha katiba mpya,ikiwa ni ya kwanza tangu kuondolewa madarakani kwa aliyekuwa rais wa taifa hilo Ben Ali, yapata miaka mitatu iliopita. Spika wa bunge hilo Mustapha ...

UTEKAJI MALORI WASABABISHA MAELFU KUKWAMA NZEGA

Baadhi ya abiria na madereva wakiwa katika mgomo wa kuondoa magari katika kijiji cha Ngonho kata ya Miguwa baada ya magari matatu kutekwa na madereva wake kujeruhiwa vibaya kabla ya kupelekwa ka...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904759
item