TASWIRA MBALIMBALI KWENYE IBADA YA KUUGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA MAREHEMU JOHN GABRIEL TUPA.

  MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN GABRIEL TUPA UKITOLEWA  NDANI YA MAKAZI YAKE   WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI K...

  MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA JOHN GABRIEL TUPA UKITOLEWA  NDANI YA MAKAZI YAKE


  WAOMBOLEZAJI WAKIWA NYUMBANI KWA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA


 KUTOKA KUSHOTO KAIMU KAMANDA WA POLISI MKOA WA MARA POUL KASABAGO,M NEC WA CCM CHRISTOPHER GACHUMA,M NEC WA BUNDA CCM...

  MWENYEKITI WA BAKWATA MUSOMA MJINI AKIWA NA ASKOFU MSONGANZILA WA KANISA KATORIKI
  RAIS WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA KENETH SIMBEYA AKITOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI
  MTOTO WA MAREHEMU  GABRIEL JOHN TUPA AKITOA SHUKURANI
  MJANE WA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALIKUWA MMOJA WA WAOMBOLEZAJI
  ASKOFU MSONGANZILA AKIWEKA SAHIHI KWENYE KITABU CHA WAOMBOLEZAJI


  SEHEMU YA WAOMBOLEZAJI WAKIENDA KUAGA MWILI

  MKURUGENZI WA KLABU ZA WAANDISHI WA HABARI TANZANIA ABUBAKAR KARSAN MWENYE MIWANI HUKU NYUMA YAKE NI MADARAKA NYERERE NAO WAKIAGA MWILI


  WANAFUNZI WA SHULE PIA WALIHUDHULIA

 ASKARI KARIM AKIWA KWENYE GARI LILILOBEBA MWILI WA MAREHEMU
 MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA MKOA WA MARA LIKIWA KWENYE GARI MAALUMU UKITOKA KWENYE MAKAZI YAKE KWENDA KANISANI
  MWILI UMEPOKELEWA LANGO KUU LA KANISA KATORIKI
 MKE WA JOHN TUPA WA PILI KUTOKA KUSHOTO AKIWA NA WANAFAMILIA KANISANI

Related

RAIS KIKWETE AZINDUA MTAMBO WA KUHAKIKI TAKWIMU ZA MAWASILIANO

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi Mtambo wa Kuhakiki Takwimu za Mawasiliano (Telecommunication Traffic Monitoring System) jana February 27, 2014 katika jengo la Mawa...

TANZANIA YASISITIZA NYONGEZA YA POSHO KWA WALINZI WA AMANI WA UMOJA WA MATAIFA

Na Mwandishi Maalum, New YorkJamhuri ya Muungano wa Tanzania,  imesema, posho ya dola 1.28  kwa siku wanayolipwa walinzi wa amani wanaohudumu katika Misheni za kulinda amani za Umoja ...

VIGOGO IDARA YA WANYAMA PORI WANG'OLEWA

Dar es Salaam, Tanzania Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu jana alitangaza kuwang'oa viongogo wa ngazi ya juu katika Idara ya wanyamapori akieleza kuwa ni kutokana na kutoridhis...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904765
item