TANAPA YAKANUSHA KUTANGAZA NAFASI ZA KAZI

Katika  baadhi ya mitandao ya habari ya kijamii zimekuwepo habari zilizonukuliwa zikitoa taarifa kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TAN...



Katika  baadhi ya mitandao ya habari ya kijamii zimekuwepo habari zilizonukuliwa zikitoa taarifa kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetangaza nafasi za ajira kwa Wahifadhi Wanyamapori madaraja ya pili na tatu.
Shirika la Hifadhi za Taifa linapenda kutoa ufafanuzi kuwa nafasi hizo zilizotangazwa sio za Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) bali ni ajira zilizotangazwa na Serikali Kuu kupitia Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma – Ofisi ya Rais na ambako kimsingi maombi ya nafasi hizo ndiko yanakopaswa kupelekwa.
Imetolewa na Idara ya Mawasiliano
Hifadhi za Taifa Tanzania
10.04.2014

Related

Job Opportunity (Administrative & Finance Officer) From The African Union Advisory Board on Corruption - Arusha

Post: Administrative and Finance Officer,  Location: Arusha, Tanzania The African Union Advisory Board on Corruption is an autonomous organ established within the African Union, in te...

TTCL JOBS OPPORTUNITIES DEADLINE 11/10/2013

Summary: The Tanzania Telecommunications Company Limited (TTCL) was established by "The Tanzania Telecommunication Company Incorporation Act of 1993". The company came into operation on 1...

NAFAFASI ZA KAZI: TUMAINI UNIVERSITY

Tumaini University Dar es Salaam College Constituent College of Tumaini University Makumira is a non-secular institution located in Dar es Salaam, Kinondoni District along Coca cola road Mweng...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904754
item