BOKO HARAMU KUWAUZA WASICHANA WALIOTEKWA

Kiongozi wa Boko Haram, Abubakar Shekau Kundi la wapiganaji wa kiislamu nchini Nigeria la Boko Haram limesema linapanga kuwauza was...

Kiongozi wa Boko Haram, Abubakar Shekau

Kundi la wapiganaji wa kiislamu nchini Nigeria la Boko Haram limesema linapanga kuwauza wasichana zaidi ya miambili ambao liliwateka nyara wiki tatu zilizopita.

Hii ni baada ya kundi hilo hatimaye kukiri ndilo lililowateka wasichana hao baada ya kimya cha wiki tatu tangu kutekwa nyara kwao.

Kiongozi wa kundi hilo, Abubakar Shekau alituma kanda ya video ambapo alikiri kwa mara ya kwanza kuwa kundi hilo ndilo liliwateka nyara wasichana hao.

Wasichana hao walitekwa kutoka shule moja iliyo kaskazini mashariki mwa nchi walipokuwa wajinadaa kwa mitihani yao.

Wakati huo huo mwanamke ambaye ni kiongozi wa maandamano ya kushinikiza serikali kuharakisha juhudi zake za kuwaokoa wasichana hao, nchini humo Naomi Mutah aliyekuwa amezuiliwa na polisi kwa amri ya mke wa rais wa nchi hiyo Patience Jonathan ameachiwa huru.

Kumekuwa na shinikizo kwa serikali ya nchi hiyo kwamba haijafanya juhudi kubwa kuwaokoa wasichana hao.

Akizungumza kwa mara ya kwanza kuhusu tukio hilo rais wa Nigeria Goodluk Jonathan amesema kuwa atafanya awezalo kuwakoa wasichana hao.

Takriban watu 1500 wameuawa na kundi hilo mwaka huu likisema kuwa linapigana dhidi ya kile linachosema ni elimu ya kimagharabi.

Related

MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR BALOZI SEIF ALI, ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA MZEE MANDELA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akitia saini kitabu cha maombolezo ya Kifo cha Mpigania Uhuru wa Afrika kusini Rais wa Kwanza wa Taifa hilo Mzee Nelson Mandela hapo katika Ubalozi...

AFRIKA KUSINI WAFANYA IBADA MAALUM YA MANDELA

Johannesburg. Afrika Kusini, jana ilitawaliwa na ibada na maombi yaliyofanyika katika makanisa mbalimbali kuliombea taifa, baada ya kifo cha Rais wa Kwanza mzalendo, Nelson Mandela. Rais Ja...

MKUTANO WA CHADEMA KASULU WAINGIWA NA DOSARI

Mkutano wa Dr Slaa Kasulu uliofanyika leo mjini Kasulu uliingiwa na dosari na kusababusha kuvunjika baada ya vijana wapatao 15 kurusha mawe na kufanya vurugu,pPolisi walitumia mabomu ya machozi kuw...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item