MSANII WA FILAMU TANZANIA RACHEL HAULE AFARIKI DUNIA

Rachel Haule enzi za uhai wake  Msanii Rachel Haule 'Recho' amefariki dunia asubuhi hii (usiku wa kuamkia leo) Muhimbi...

Rachel Haule enzi za uhai wake 
Msanii Rachel Haule 'Recho' amefariki dunia asubuhi hii (usiku wa kuamkia leo) Muhimbili Hospitali baada ya kujifungua kwa upasuaji. mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia. Bongo Movie yathibitisha. Taarifa zaidi zitafuata.


Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe



Related

TAZAMA PICHA: NYUMBA ZA JESHI LA POLISI ZILIVYOTEKETEA KWA MOTO TANGA

  Nyumba za Askari wa jeshi la polisi zilizopo eneo la chumbageni nyuma ya kituo kikuu  cha polisi cha chumbani jijini Tanga zaliungua moto.  Mh.Halima Dendegu akishuh...

GODFREY MGIMWA ASHINDA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Kalenga, Iringa Pudenciana Kisaka amemtangaza Godfrey Mgimwa - CCM kuwa mshindi wa Ubunge kwenye Jimbo hilo. Matokeo ya mwisho ya uchaguzi huo ni kama yanavyoonekan...

TAARIFA YA KATIBU WA BUNGE MAALUM LA KATIBWA KWA VYOMBO VYA HABARI

BUNGE MAALUM  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI  RATIBA YA MKUTANO WA BUNGE MAALUM TAREHE 17 HADI 21 MACHI, 2014  Ofisi ya Katibu wa Bunge Maalum inawatangazia Wajumbe wa Bunge Maal...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item