MSANII WA FILAMU TANZANIA RACHEL HAULE AFARIKI DUNIA

Rachel Haule enzi za uhai wake  Msanii Rachel Haule 'Recho' amefariki dunia asubuhi hii (usiku wa kuamkia leo) Muhimbi...

Rachel Haule enzi za uhai wake 
Msanii Rachel Haule 'Recho' amefariki dunia asubuhi hii (usiku wa kuamkia leo) Muhimbili Hospitali baada ya kujifungua kwa upasuaji. mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia. Bongo Movie yathibitisha. Taarifa zaidi zitafuata.


Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe



Related

MBUNGE WA CHALINZE RIDHIWANI KIKWETE AKABIDHI VITANDA 267 KWA SHULE ZA SEKONDARI JIMBONI KWAKE

 Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete akimkabidhi vitanda Mkuu wa shule ya seondari ya Sekondari ya Mandera Bi. Rose Jumila, kushoto ni Diwania wa Viti maalum kata ya Msoga Bi. Maria ...

CHADEMA HATUCHUKUI TENA MAKAPI YA CCM

Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimesema hakitasubiri wanachama watakaoachwa na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwenye uteuzi wa...

BASI LA MAGEREZA JIJINI DAR ES SALAAM LASHAMBULIWA KWA RISASI NA MAJAMBAZI

Wananchi wakiangalia tukio hilo lililotokea maeneo ya TMJ Hospital Vioo vya basi hilo vikiwa vimepasuliwa Foleni iliyosababishwa na tukio hilo Watu wanaosadikiwa kuwa maj...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904769
item