MSANII WA FILAMU TANZANIA RACHEL HAULE AFARIKI DUNIA

Rachel Haule enzi za uhai wake  Msanii Rachel Haule 'Recho' amefariki dunia asubuhi hii (usiku wa kuamkia leo) Muhimbi...

Rachel Haule enzi za uhai wake 
Msanii Rachel Haule 'Recho' amefariki dunia asubuhi hii (usiku wa kuamkia leo) Muhimbili Hospitali baada ya kujifungua kwa upasuaji. mara baada ya kujifungua mtoto alifariki na yeye hali yake kuwa mbaya, ilibidi ahamishiwe ICU ambako hali ilizidi kuwa mbaya na baadae kufariki dunia. Bongo Movie yathibitisha. Taarifa zaidi zitafuata.


Bwana alitoa na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe



Related

MTOTO ALIYEFUNGIWA NDANI MIEZI TISA KWA ULEMAVU WA MDOMO SUNGURA ATIBIWA

 Mtoto Selemani Kolineli Mushi(Miezi kumi)kutoka Kijiji cha Igundu Kata ya Sangambi Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya Baada ya kufanyiwa upasuaji wa mdomo sungura  Yohana Kolineli ...

MENEJA EWURA AJIUA HOTELINI BAADA YA KUHOJIWA NA BUNGE

Julius Gashaza (Mwenye T-shirt ya Blue) Dar/Dodoma. Meneja Biashara wa Petroli wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura) amekutwa amekufa hotelini katika mazingira ya kutatanisha muda...

SERIKALI YATOA TAMKO: MATIBABU YA DENGUE NI BURE

Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, Said Meck Sadiki, amewataka wananchi wa mkoa huo wanapohisi wana dalili za ugonjwa wa dengue kuwenda katika hospitali za Serikali kwa kuwa matibabu hutolewa bila ...

Post a Comment

emo-but-icon
:noprob:
:smile:
:shy:
:trope:
:sneered:
:happy:
:escort:
:rapt:
:love:
:heart:
:angry:
:hate:
:sad:
:sigh:
:disappointed:
:cry:
:fear:
:surprise:
:unbelieve:
:shit:
:like:
:dislike:
:clap:
:cuff:
:fist:
:ok:
:file:
:link:
:place:
:contact:


LISTEN / DOWNLOAD MUSIC HERE:

Total Pageviews

904758
item